<br />CHADEMA kukutana na JK ili iweje?...hoja hapa ni maisha magumu kwa mtanzania, ufisadi, uzembe &kutowajibika n.k; so wanachokifanya CHADEMA mikoani ni kuzidi kuwariji wananchi na kuwaelezea sababu ya umaskini wao na maisha magumu, hakuna haja ya kukutana na JK....kwani wakikutana wataamua maisha kuwa matamu?ufisadi kuisha n.k?
JK Kama Rais, nina hakika anayajua matatizo yote haya. Hivyo basi kwa usalama wa nchi yake na Chama chake sidhani kama amekaa tu ametulia. No! He is doing something, let us give him time after the elections and see what will happen. We learn through misktakes. Give him a second chance. Mpaka amefika hapo alipo (Rais) sidhani kama anaweza kukaa bila kutafuta suluhu ya kero zilizopo. Hiyo Ari ZAIDI, nguvu ZAIDI na kasi ZAIDI ni tofauti na Ari MPYA ....... ipeni muda kidogo hiyo ZAIDI, inaweza ikaleta matunda. Yeyote afanyaye kosa, akishaligundua hulirekebisha. Ukimsakama wakati yuko katika process ya kulirekebisha, unamvunja nguvu na ku-disturb process zake. Mnapowapump wananchi na maneno ya kuichukia Serikali, Je hao watendaji wanapowatembelea kwa ajili ya kufuatilia maendeleo si mnataka wazomewe? Hiyo itawapa nguvu kweli? Mi kwa upande wangu namsupport sana Rais wetu, namwombea afya njema na mafanikio katika jitihada zake. Namhurumia anavyosakamwa. kuongoza nchi sio mchezo jamani.
maisha magumu mpaka watu waambiwe ni magumu? Kwani watu hawayaoni? Mbona Rais JK ktk hotuba yake amekiri kwamba maisha ni magumu.CDM wakiwahutubia watu maisha ni magumu ndo yanabadilika au kuwapotezea watu muda wa kuhangaikia maisha yao yawe mepesi. Maandamano hayana tija kwa mtz,ila ipo ajenda ambayo wewe huijui unafuata mkumbo. Kama hamkueleweka ktk kampeni ndo mtaeleweka sasa
walikuwepo tyena CDM wamekaza uzi na kuwaambia maandamano zaidi yatafuata sasa ni zamu ya kanda ya kusini baada ya bunge la april na moja ya maazimio ya kikao hicho wameishauri serikali kuangalia uwezekano wa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa katika URT.
maisha magumu mpaka watu waambiwe ni magumu? Kwani watu hawayaoni? Mbona Rais JK ktk hotuba yake amekiri kwamba maisha ni magumu.CDM wakiwahutubia watu maisha ni magumu ndo yanabadilika au kuwapotezea watu muda wa kuhangaikia maisha yao yawe mepesi. Maandamano hayana tija kwa mtz,ila ipo ajenda ambayo wewe huijui unafuata mkumbo. Kama hamkueleweka ktk kampeni ndo mtaeleweka sasa
SONGAS,IPTL,NETGROUP,kawaulize wenzio rais alikuwa nani? Tatizo mkumbo. Inaonekana hukusiliza hotuba,umehadithiwa au umeamua kupotosha kama ilivyo kawaida yenu
Katika vugu vugu la chadema kuendelea na maandamano nchi zima ambayo yameleta hofu kubwa kwa ccm na serikali yake, na pia kusababisha vyama vya siasa jana kukutana kwa dharura kutatua mzozo huo ila wamependekeza rais Jakaya Mrisho Kikwete kukutana na chadema na kuzungumza ili pawe na maelewano na chadema.
My take:
Sidhani kama Chadema na JK kutakuwa na maelewano kwani JK ameshindwa kujibu hoja za chadema na maisha yanaendelea kuwa magumu na uchumi unaendelea kudorora. Kama jana vyama vya siasa vilipokutana vilishindwa kuelewana je JK ATAWEZA?
Katika vugu vugu la chadema kuendelea na maandamano nchi zima ambayo yameleta hofu kubwa kwa ccm na serikali yake, na pia kusababisha vyama vya siasa jana kukutana kwa dharura kutatua mzozo huo ila wamependekeza rais Jakaya Mrisho Kikwete kukutana na chadema na kuzungumza ili pawe na maelewano na chadema.
My take:
Sidhani kama Chadema na JK kutakuwa na maelewano kwani JK ameshindwa kujibu hoja za chadema na maisha yanaendelea kuwa magumu na uchumi unaendelea kudorora. Kama jana vyama vya siasa vilipokutana vilishindwa kuelewana je JK ATAWEZA?
Ila ndivyo walivyopendekeza ili kuwe na maelewano na chadema . Ila John Tendwa uwezo wake wa kufikiri umefika tamati kwa kuendeshwa kama gurudumu bovu kwani anafikiria ndio litakuwa sululisho badala ya Raisi kusikiliza hoja za chadema na kutatua matatizo yanayowakuta watazania na hali ngumu ya maisha.
Katika vugu vugu la chadema kuendelea na maandamano nchi zima ambayo yameleta hofu kubwa kwa ccm na serikali yake, na pia kusababisha vyama vya siasa jana kukutana kwa dharura kutatua mzozo huo ila wamependekeza rais Jakaya Mrisho Kikwete kukutana na chadema na kuzungumza ili pawe na maelewano na chadema.
My take:
Sidhani kama Chadema na JK kutakuwa na maelewano kwani JK ameshindwa kujibu hoja za chadema na maisha yanaendelea kuwa magumu na uchumi unaendelea kudorora. Kama jana vyama vya siasa vilipokutana vilishindwa kuelewana je JK ATAWEZA?