Jk kukutana na chadema

Kama vyama vimeliona hilo ni vizuri. Ila sidhani kama mwafaka unaweza kufikiwa kirahisi namna hivyo. Ndani ya sisem kuna viongozi wasiojari na wako tayari kwa lolote-Makamba, Mkuchika just to mention a few.

My take: Kwakuwa CHADEMA wameminywa sana bungeni na mtandao wa kifisadi wakisaidiwa na SPIKA, nivizuri kutumia haki yao ya kikatiba kuwaelimisha wananchi kupitia mikutano na maadamano. Then, wananchi watahamua wenyewe nini cha kufanya. Mtambue kuwa sehemu kubwa ya umaskini wa watanzania imechangiwa na elimu ndogo ya uraia na hivyo kudanganywa wakati uchaguzi kwa vitu vidogo kama kanga, t-shirt na vjisenti vichache. Viongozi wa sasa ni matunda ya uchaguzi mbovu hivyo elimu kuhusu haki na chanzo cha matatizo tuliyonayo kwa sasa kama wa-Tanzania ni muhimu zaidi ya serikali ya umoja wa kitaifa.

Let no body stops the good move of CHADEMA in educating Tanzanians about the source of their probs and the solutions to be taken.
 
Tatizo ni JK,MAKAMBA,CHILIGATI,NGELEJA,MAMA SIMBA,MAKINDA NA WENGINEO (Ongezea list) NDIO WAKAE CHINI KABLA YA KUKUTANA NA CHADEMA....
 
hakuna haja ya rais kukutana na chadema... JK pekee sio solution ya matatizo yaliyopo, kwani inaonekana hata ndani ya chama hana hizo nguvu tunazotegemea awe nazo:hand:

then he should resign, wananchi can not afford having a powerless and toothless commander and chief!!!!!!!
 
Tendwa anaelewa anachokifanya,uwezo wake wa kufikiri ni mkubwa.Tatizo kubwa linalomsumbua ni kulipa fadhari kwa mteule wake!!
 

JK Kama Rais, nina hakika anayajua matatizo yote haya. Hivyo basi kwa usalama wa nchi yake na Chama chake sidhani kama amekaa tu ametulia. No! He is doing something, let us give him time after the elections and see what will happen. We learn through misktakes. Give him a second chance. Mpaka amefika hapo alipo (Rais) sidhani kama anaweza kukaa bila kutafuta suluhu ya kero zilizopo. Hiyo Ari ZAIDI, nguvu ZAIDI na kasi ZAIDI ni tofauti na Ari MPYA ....... ipeni muda kidogo hiyo ZAIDI, inaweza ikaleta matunda. Yeyote afanyaye kosa, akishaligundua hulirekebisha. Ukimsakama wakati yuko katika process ya kulirekebisha, unamvunja nguvu na ku-disturb process zake. Mnapowapump wananchi na maneno ya kuichukia Serikali, Je hao watendaji wanapowatembelea kwa ajili ya kufuatilia maendeleo si mnataka wazomewe? Hiyo itawapa nguvu kweli? Mi kwa upande wangu namsupport sana Rais wetu, namwombea afya njema na mafanikio katika jitihada zake. Namhurumia anavyosakamwa. kuongoza nchi sio mchezo jamani.
 
Mimi nadhani kikubwa sio kukutana, ccm have to tackle the core issues which are facing the country as a whole. Chadema sana sana wanaongeza awareness kwa wananchi kujua ukweli wa mambo kwani watanzania masikini wanadhani umasikini wao umeletwa na Mungu kama ccm wanavyotaka waamini kuhusu bei za vyakula, sukari, mafuta, dowans na mgao wa umeme, n.k. Sio kweli :hand:
 



Source please!!!!!!!


maana yake Chadema kwa kuzua ndio wenyewe hawa.
 
Inaonyesha jinsi gani chombo anachoongoza Tendwa hakiko huru
 
Wanaanza kusikia joto hata moto haujawashwa??? No wonder Rais haishi kulalama kila kukicha badala ya kusolve problems. Inaelekea nchi ikiienda ikiienda Egyptian way itamchukua JK two days kusalimu amri!! Kweli CCM waoga........... sijui wanwezaje kutuongoza!!
 
Wewe Do-Santos mbona ni mwongo saana???????? Sasa chama cha siasa kazi yake ni nini, kukaa na kubweteka wangoje uchaguzi?????????? Wewe umelala, serikali itekeleze matakwa ya wananchi vinginevyo watu wanao wa kuwasemea na watatafuta mkakati wa kujikwamua. JK awaweke mfisadi wote ndani na fedha zetu wailizoiba ziletwe ziingizwe kwenye Budget kunusuru mpolomoko wa uchumi!! CDM wanajua wanalo lifanya usitake kutupotezea, hata wewe unajua unajifanya kubwa jinga hapa. Changia njia mbadala za kujikomboa kiuchumi sasa hivi sio kesho Ndg!!!
Tunahitaji maisha bora kwa kila Mtanzania hiyo ni hahadi ya JK. Taabu na shida ni za wote!!!
 

Hata mimi sioni kama kunatatizo kati ya Rais na CDM,CDM wanatambua kuwa Jk ndiye Rais lakini hawatambui njia aliyoingilia. Wao CDM wanawaeleza wananchi hali ngumu ya maisha inasababishwa na nini, halafu wanaishinikiza Serikali ichukue hatua kuboresha hali hiyo. Kinachotakiwa ni utekelezaji wa hayo na si kukutana na Jk.
 
hayo maandamano yamepunguza makali ya maisha? Wahimize wananchi kufanya kazi. Mbona hawaelezi serikali nini cha kufanya maisha yawe bora.Baada ya maandamano na mikutano huko mwz,bukoba,mara,shy, je maisha yamebadilika? Huu si muda wa kampeni,waacheni wananchi wafanye shughuli zao.Slaa anakipeleka vibaya chama watu washamchoka kila siku kasema hili mara lile,utekelezaji zero.
 

Hakuna sababu ya CDM kuomba serikali ya Mseto kama CUF kwani mbona ushindi upo nje nje tu bila hata ya kuwa kibaraka kama Seif! ushidi ambao utakuwa wa K.O...CCM mnalo hilo mkijaribu kuchomoa mmekwisha
 
Siku wakimchoka Dr Slaa tayari kashalikomboa taifa dhidi ya hawa wakoloni weusi kwani baada ya kuelimisha jamii umasikini wao unaletwa na serikali ya ccm, haiwezekani Arusha,Shinyanga pawe na madini yakutosha ila utasikia Kenya na Afrika kusini ndio main Suppliers wa madini yetu. So wewe Do santos unafurahii watanzania kuwa wachuhuzi mpaka lini kama viongozi uliowaweka madarakani they have poor strategic planning juu ya kuendeleza uchumi na maendeleo ya kijamii hawana tija tena ktk taifa letu.
 
Ustaarabu huanzia nyumbani. Ukipata ajali, suruali au gauni likachafuka, kimbia nyumbani, jiswafi, badili na nguo halafu rudi kwa jamii, itakupokea. Lakini ukiwa una harufu isiokubalika, utakimbiwa. Tatizo sio CDM au mkutano na CDM. ni mkutano ndani ya CCM, Timua wote wanaochafua hali ya hewa, ccm itameremeta.:A S 112:
 

Wewe umetokea wapi na pumba zako?Sasa mnalalamika nini km CDM wanawaeleza watu ugumu wa maisha?kaeni ofisini msubiri kuchakachua tena 2015. Hawa wabunge tumewatuma watuwakilishe huko mjengoni, so wanawajibika kwetu kwa kila kitu, wewe ulichagua viongozi (wabunge wa CCM) na sio wawakilishi, tulieni tuwanyoe maana mnaogopa kwenda saloon!!!
 


Dos Santos! usilete propaganda katika ishu serious kama hii waache CDM waandamane ni haki yao kikatiba na unavyofikiria wewe kuhusu uchu wa madaraka uko wrong, na elewa kwamba JK sasa yuko katika hali tete alifikiri kuongoza inchi ni mchezo sasa ameona ikulu sio sehemu ya masikhara na hii yote ni kutokana na presha anayoipata kutoka CDM, na elewa kwamba kazi kuu ya upinzani ni kuikosoa serikali sio kujipendekeza pendekeza kama wale wenzetu wa vyama vingine.

nakukumbusha: siku ya hotuba ya JK mwisho wa mwezi Februari. alisema haya kuhusu tatizo la umeme nchini, Tarehe 15 Februari, 2011, Baraza la Mawaziri lilijadili na kuidhinisha mpango wa dharura wa TANESCO wa kukodi mitambo ya kuzalisha MW 260 za umeme. Baraza limeitaka Bodi na Menejimenti ya TANESCO kuhakikisha kuwa mchakato huo unakamilika mapema iwezekanavyo ili kupunguza makali na athari za ukosefu mkubwa wa umeme kwa jamii na uchumi wa nchi. Aidha, imesisitizwa kuwa pamoja na udharura uliokuwepo sheria na taratibu za manunuzi ya umma vizingatiwe. Pia, wahakikishe kuwa mkataba wataoingia uwe ni wenye maslahi kwa taifa. Vile vile, watoa huduma wawe ni makampuni yanayofahamika na yenye sifa stahiki na kuaminika.

Hapo kwenye red, ina maana siku zote JK alikuwa anaelewa kuwa mikataba ya IPTL,RICHMOND,SONGAS,NET GROUP haikuwa na maslahi kwa wananchi, na hili amelisema baadae ya maandamano ya CHADEMA kanda ya ziwa, sassa mimi nakushangaa sana unaposema CDM wanapoaandamana wanaleta uasi na kuonekana wana uchu wa madaraka. Tumia akili yako vizuri sio kuleta upupu usio na maana yoyote na kwa taarifa yako ujinga unaoongea humu JF huwezi kuongea mtaaani nadhani utachomwa moto aua utapokea matusi na kipigo juu.
 
Jamani "matatizo ya nchi hii hayawezi kuisha ndani ya siku tisa"......eh!
 

no need! Ccm ni viziwi,,,,,hawasikii matatizo ya watanzania!!!
 
makamba si alisema ccm haipo tayari kwa mazungumzo? sasa imekuaje tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…