Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Dar es Salaam?
Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Darisalamu?
Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Darisalamu?
ulitaka watanzania wote waalikwe jangwani au? katiba ni lazima ipige vita utumiaji wa viroba na gongo maana madhala yake ni makubwa sana mfano upeo wa ndugu yetu huyu.
Atahutubia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.? Lakini hilo ni jina mbadala ya jina la Tanganyika maana kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya watu wa Zanzibar "Rais wa Zanzibar ni mkuu wa nchi ya Zanzibar" sasa huyo rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo haina Zanzibar ni ipi.? mainterahamwe ni mahuni kichizi! mimi nawaona wote hawana akili tu hakuna mwenye unafuu hata mmoja mainterahamwe wahuni nyie..Alafu wewe Komba umepewa na ucaptain wa jeshi? muhuni mkubwa wewe!
Rais wa pwan ni balaa tu, rais dhaifu rais wa mipasho rais mswahil kama nn,
Hebu tusubiri hiyo mipasho mipya nasikia inamistar mikal ya mzee yusuph na haduja kopa haion ndani,
MIPASHO
Wadau nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa Mh Rais kesho anatarajiwa kuhutubia Taifa, najiuliza atahutubia taifa au ataongea na wazee wa Darisalamu?