Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,817
- 62,027
Nchi hii imewahi kuwa na makundi makuu mawili ya watu waliopendwa sana na Watanzania, Nyerere, JK na Magufuli. kundi la pili ni la Mrema na Lowasa.
Nyerere alipendwa sana sababu ya kupigania uhuru, kutumia vipawa vyake vya akili na uongozi kwa ajili yao. Huyu alifanya makosa kadhaa ya kiuongozi, na hata mwishoni mwa utawala wake wake hali ya maisha ilikuwa ni ngumu sana, lakini wananchi walimfeel kuwa huyu anapambana kwa ajili yao, walimpenda hivyohivyo na kumheshimu sana.
JK yeye ana sifa nyingi sana za ubinadamu,ni mcheshi, siyo arrogant, anajua urafiki kama wewe ni rafiki yake, siyo katili. Hizi sifa ziliwafanya Watanzania wampende. Tatizo lake kuu ni kuwa amekuwa highly irresponsible kwenye mambo makuu ya msingi ya Taifa. Kwa mfano, kwa nini baada ya kutumia mabilioni ya kodi ya wananchi kwa ajili ya katiba mpya aliuacha huo mchakato hewani unaelea?. Kwa nini anashiriki kubaka taratibu za chama cha mapinduzi katika kupata uongozi wa nchi?, Kwa nini anaiacha familia yake ionekane ya kilafi?, mke mbunge, mtoto waziri, na mke anapeleka bungeni hoja za wake wa viongozi walipwe mshahara, what a disgrace!.
Sasa katika vitu vilivyowafanya wananchi wawe na hasira kali ni mambo kama haya, mtu badala atambue kuwa yeye amewahikuwa rais wa nchi hii, na anaangaliwa na Taifa kama statesman yeye anaonelea awe "Kingmaker" ndani ya CCM, aendelee kuwa relevant kwa walioko madarakani yaani kiufupi anajihisi comfortable kuwa CHAWA PRO MAX wa mtu aliyekalia kiti badala ya kuangalia future ya Taifa. Hili limekuwa chukizo kubwa kwa wananchi.
Mtu aliyeko karibu na JK amwambie tu, kuwa yeye kimaumbile is a good guy. Aaachane na hizi cheap endeavors za kutaka upendeza mbele za mtu aliyeko kwenye kiti, au kujaribu kutafuta influence ya hapa na pale za kuwa actor behind the scene. Asimame kama statesman, awe moral pillar wa nchi hii kama akina Jaji Warioba.
Mtu una mihela mingi uliyochuma tangu ukiwa kijana na marupurupu kibao ya pensheni, una mijumba kedekede, sasa unataka nini tena?.
Nyerere alipendwa sana sababu ya kupigania uhuru, kutumia vipawa vyake vya akili na uongozi kwa ajili yao. Huyu alifanya makosa kadhaa ya kiuongozi, na hata mwishoni mwa utawala wake wake hali ya maisha ilikuwa ni ngumu sana, lakini wananchi walimfeel kuwa huyu anapambana kwa ajili yao, walimpenda hivyohivyo na kumheshimu sana.
JK yeye ana sifa nyingi sana za ubinadamu,ni mcheshi, siyo arrogant, anajua urafiki kama wewe ni rafiki yake, siyo katili. Hizi sifa ziliwafanya Watanzania wampende. Tatizo lake kuu ni kuwa amekuwa highly irresponsible kwenye mambo makuu ya msingi ya Taifa. Kwa mfano, kwa nini baada ya kutumia mabilioni ya kodi ya wananchi kwa ajili ya katiba mpya aliuacha huo mchakato hewani unaelea?. Kwa nini anashiriki kubaka taratibu za chama cha mapinduzi katika kupata uongozi wa nchi?, Kwa nini anaiacha familia yake ionekane ya kilafi?, mke mbunge, mtoto waziri, na mke anapeleka bungeni hoja za wake wa viongozi walipwe mshahara, what a disgrace!.
Sasa katika vitu vilivyowafanya wananchi wawe na hasira kali ni mambo kama haya, mtu badala atambue kuwa yeye amewahikuwa rais wa nchi hii, na anaangaliwa na Taifa kama statesman yeye anaonelea awe "Kingmaker" ndani ya CCM, aendelee kuwa relevant kwa walioko madarakani yaani kiufupi anajihisi comfortable kuwa CHAWA PRO MAX wa mtu aliyekalia kiti badala ya kuangalia future ya Taifa. Hili limekuwa chukizo kubwa kwa wananchi.
Mtu aliyeko karibu na JK amwambie tu, kuwa yeye kimaumbile is a good guy. Aaachane na hizi cheap endeavors za kutaka upendeza mbele za mtu aliyeko kwenye kiti, au kujaribu kutafuta influence ya hapa na pale za kuwa actor behind the scene. Asimame kama statesman, awe moral pillar wa nchi hii kama akina Jaji Warioba.
Mtu una mihela mingi uliyochuma tangu ukiwa kijana na marupurupu kibao ya pensheni, una mijumba kedekede, sasa unataka nini tena?.