Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 752
- 182
Wowowo!!
JK alifanya jambo la msingi sana kutowapinga papo hapo!! hata ningekuwa mimi ningefanya vivyo hivo katika misingi ifuatayo:-
1. JK alienda kikaoni alishatoa msimamo wa Tanzania ila wao walikuwa hawajasema msimamo wao hadharani. kwa hiyo chochote kile kitachosemwa kinyume cha ule msimamo wa wazi ulotolewa na Tanzania kingekuwa hakikubaliki straight away. and thats what happened!! Na kwamba wale jamaa wangekuwa na akili wangeahirisha hicho kikao maana jamaa alishasema mambo ambayo yapo nje ya mpango wao!!
2. Haikua jambo la busara kwa Tanzania kutoa hdharani tamko lolote linalopingana na yaliyosemwa na mseveni kwa sababu yangeongeza mpasuko katika ule mgogoro kwani kila mmoja wetu anajua jinsi gani Uganda na Rwanda wanavyokwiba rasilimali za Wakongomani.
3. Aliye na nguvu siku zote hana haja ya kujibizana bali huchukua hatua. Tanzania ilichukua hatua za kiutawala dhidi ya M7 na KG kupitia SADC. Tanzania ina nguvu na uzoefu katika kusimamia amani katika nchi zenye civil wars [refer:- Lebanon; Liberia; Sudan; Zimbabwe; Namibia; e.t.c] kwa hivo wanajua intelijensia ya civil wars.
JK alifanya jambo la msingi sana kutowapinga papo hapo!! hata ningekuwa mimi ningefanya vivyo hivo katika misingi ifuatayo:-
1. JK alienda kikaoni alishatoa msimamo wa Tanzania ila wao walikuwa hawajasema msimamo wao hadharani. kwa hiyo chochote kile kitachosemwa kinyume cha ule msimamo wa wazi ulotolewa na Tanzania kingekuwa hakikubaliki straight away. and thats what happened!! Na kwamba wale jamaa wangekuwa na akili wangeahirisha hicho kikao maana jamaa alishasema mambo ambayo yapo nje ya mpango wao!!
2. Haikua jambo la busara kwa Tanzania kutoa hdharani tamko lolote linalopingana na yaliyosemwa na mseveni kwa sababu yangeongeza mpasuko katika ule mgogoro kwani kila mmoja wetu anajua jinsi gani Uganda na Rwanda wanavyokwiba rasilimali za Wakongomani.
3. Aliye na nguvu siku zote hana haja ya kujibizana bali huchukua hatua. Tanzania ilichukua hatua za kiutawala dhidi ya M7 na KG kupitia SADC. Tanzania ina nguvu na uzoefu katika kusimamia amani katika nchi zenye civil wars [refer:- Lebanon; Liberia; Sudan; Zimbabwe; Namibia; e.t.c] kwa hivo wanajua intelijensia ya civil wars.
Mkuu Papa hata mimi kama umesoma bandiko langu naunga mkono azimio hili la SADC kupeleka neutral force Goma, DRC kuzima operesheni za waasi wa M23,tena naona wamechelewa sana.Hoja yangu niliyonayo na JK ni yeye kushindwa kuwaeleza ukweli akina Kagame na Museveni kwenye kikao cha awali cha Kampala na yeye kushiriki kutoa maazimio ambayo kwa kweli yalikuwa kama ya kitoto na yenye kuwabeba waasi hawa.
Nadhani JK was supposed to be firm on the matter na kuonesha kutokukubaliana na maazimio hayo.Kitendo cha yeye kushiriki kikao kile ambacho kilitoa maazimio ya Kampala bila kuonesha kuyapinga na baadaye kushiriki kikao cha SADC ambacho kimekuja na maazimio yanayokanyaga kikao cha Kampala (Hata kama ni mema na tunayaona ya busara) kinampunguzia credit na kama Rais anayeongoza moja ya majeshi imara Afrika alipaswa kuwaonesha akina Museveni kwa nini wanapaswa kuacha undumilakuwili na kusitisha miradi yao huko Goma.