mwana wa mtu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 220
- 53
Wakati mambo yakiwa yamepamba moto 'Katiba mpya, katiba mpya,katiba'..JK kwenye hotuba yake 'amechombeza' kuwa nae anawiwa na suala hilo..na hivyo atahakikisha linafanyiwa kazi katika kipindi chake..mmmh..Ukifikiri kwa ndani saaana,unapata mashaka makubwa sana:frown: kuamini kuwa jamaa ana nia ya dhati...sjui wenzangu mnalionaje hili....!