JK is the best president

Ni sahihi Kikwete ni rais mvivu wa kufikiri kuliko hata raisi wa kilabu cha wanzuki!
Amelala kiakili, wajinga tu ndiyo wanamwona bonge la raid..
 

lakini labda ni kweli, ingekuwa ni haki wangefikiri tofauti. Hujawahi kuona mtu anamshukuru sana Rais kwa kuja kuwatembelea? Siwezi kusahau siku Mkapa alipoenda Mwanza baada ya ajali ya MV Bukoba, Mkuu wa Mkoa anamkaribisha Rais na kusema "Tunashukuru umeacha shughuli zako na kuja Mwanza!"!!!!
 
Akili zetu zimetekwa kiasi kwamba hazitofautiani na yule jamaa aliyetoka Geita kwa baiskeli kuja ikulu kumpongeza Kikwete.
 

MM kwahiyo hawakutakiwa kushukuru ujio wa RAISI?
 
Akili zetu zimetekwa kiasi kwamba hazitofautiani na yule jamaa aliyetoka Geita kwa baiskeli kuja ikulu kumpongeza Kikwete.

Nani kakwambia yule dogo alitokea Geita? Anaishi TEMEKE yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…