Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,604
- Thread starter
- #41
Mkuu Joka Kuu, kuna maswali nimeuliza nasubiria majibu!.Pasco,
..Raisi ameteua wabunge 2 wapya na kuwateua kuwa mawaziri.
..Now, why do u believe kwamba kumetokea mabadiliko makubwa mno kiasi cha kuhalalisha wewe kuleta posting kama hii?
..mimi nakushauri upumzike kwanza, ili kurudisha fahamu zako. hicho unachokiamini, kwamba Raisi amefanya mabadiliko makubwa ktk baraza lake la mawaziri, sicho kilichotokea.
To put the record straight, CCM ina wabunge 200+ kule mjengoni!. Yaani katika hao alikosa wa kutosheleza hadi kuteua wengine watatu aliowapa uwaziri?.
Yaani pool yote hiyo ya 200+ ni makapi, vilaza with nothing to offer au they are good ila JK ana lake jambo?!.
Nani kasema JK amefanya mabadiliko makubwa?!. Mabadiliko makubwa ni 2015!.