Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Kutokana na rais kuwa katika mashinikizo makubwa toka kwa watu na taasisi zinazoongozwa na watu ao ni vema ukafuta uraia wa waliotaja hapo juu ili nchi itulie na shughuli za maendeleo ya taifa zifanyike la sivyo mh rais utawala wako utadondoka kabla ya muda wake.
Wafalme wa ugiriki waliwai kuwaua wanafalsafa waliokuwa wanayumbisha tawala zao lakini mimi sikushauri uwaue bali wafukuze nchini kama nyerere alivyomfukuza kambona au karume alivyomfukuza ibrahimu babu.
baada ya kufanya hivyo nchi itakuwa imetulia na hutakuwa na magonjwa ya moyo
pindi waraka huu utapofika kwa rais CCM watapeleka muswada wa dharura bungeni na ukipita rais atausaini na sheria ya kufuta watu hawa uraia itakuwa imetungwa na kuanza kutumika kwa watajwa hapo juuHayo madaraka ya Rais kumfuta mtu uraia kiholela hivyo ameyatoa wapi? Hana madaraka hayo.
Nilitegemea hii thread ingekuwa imeletwa na sheikh au imamu!!
Kambona kama alivyosimulia baada ya kufika London ni kuwa alihofia usalama wa maisha yake baada ya kutofoutiana na Nyerere kuhusu Azimio la Arusha. Kwa hiyo hakufukuzwa nchini alikimbia mwenyewe. Tatizo ni kuwa dunia ni kama kijiji na akijaribu kufanya hivyo atabanwa na nchi zingine. Umemshauri vibaya huyo Jk.Kutokana na rais kuwa katika mashinikizo makubwa toka kwa watu na taasisi zinazoongozwa na watu ao ni vema ukafuta uraia wa waliotaja hapo juu ili nchi itulie na shughuli za maendeleo ya taifa zifanyike la sivyo mh rais utawala wako utadondoka kabla ya muda wake.
Wafalme wa ugiriki waliwai kuwaua wanafalsafa waliokuwa wanayumbisha tawala zao lakini mimi sikushauri uwaue bali wafukuze nchini kama nyerere alivyomfukuza kambona au karume alivyomfukuza ibrahimu babu.
baada ya kufanya hivyo nchi itakuwa imetulia na hutakuwa na magonjwa ya moyo
Kutokana na rais kuwa katika mashinikizo makubwa toka kwa watu na taasisi zinazoongozwa na watu ao ni vema ukafuta uraia wa waliotaja hapo juu ili nchi itulie na shughuli za maendeleo ya taifa zifanyike la sivyo mh rais utawala wako utadondoka kabla ya muda wake.
Wafalme wa ugiriki waliwai kuwaua wanafalsafa waliokuwa wanayumbisha tawala zao lakini mimi sikushauri uwaue bali wafukuze nchini kama nyerere alivyomfukuza kambona au karume alivyomfukuza ibrahimu babu.
baada ya kufanya hivyo nchi itakuwa imetulia na hutakuwa na magonjwa ya moyo
Pole sana ndugu yangu ila umepotea. Kwa kufanya hilo unalotaka, unampa JK kibali cha kuwa diktata.
Kuna watu ambao JK akifuta uraia/au kuwamaliza nchi hii itatawalika. Hao uliowataja hapo juu wanapiga kelele kwa ajili ya mambo ya hao watu ambao nimesema JK awamalize.
Na yeye mwenyewe JK anawajua fika.
Ila hao uliowataja, umepotea kabisa.
awafutie uraia kivipi?kwani babake ni mmiliki wa hii nchi?
utaenda kwa babu loliondo kupata kikombe labda kitasaidia..
Nadhani akina mokiwa na pengo na malasusa asiwafukuze bali aweke kodi kubwa kwenye makanisa yao watanyamaza tu
rais anayo mamlaka ya kumwondoa mtu ndani ya nchi kwasababu za usalama wa nchi. kama ikionekana mtu huyo anahatarisha usalama wa taifa