Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
mbege za bure hizohii krismas naona imeharibu kabisa wengine kama godwine.... Huko nyuma haukua hivyo kabisa aisee, sijui kwanini umeharibika ghafla namna hii:hat:
mbege za bure hizohii krismas naona imeharibu kabisa wengine kama godwine.... Huko nyuma haukua hivyo kabisa aisee, sijui kwanini umeharibika ghafla namna hii:hat:
rais anania ya kweli kulijenga Taifa sasa unaposema analiangamiza taifa nashindwa kukuelewa labda ungetoa mifano kwanini analiangamiza Taifa?...Ingekuwa hivyo basi nchi yetu isingekuwa katika hali mbaya kama ilivyo sasa. Wengi walidhani ni "chaguo la Mungu" kumbe ni chaguo la mafisadi. Kuwepo kwake madarakani kunaiangamiza nchi.
rais anania ya kweli kulijenga Taifa sasa unaposema analiangamiza taifa nashindwa kukuelewa labda ungetoa mifano kwanini analiangamiza Taifa?
...Huwezi kuelewa kwa sababu huna nia ya kufanya hivyo. Mifano ipo humu jamvini mingi sana tena ya tangu 2005 mara tu baada ya kuingia madarakani. Itafute labda itakusaidia kufahamu kwanini Kikwete analiangamiza Taifa.
​sidhani kama kikwete analiangamiza Taifa bali Taifa linaangamizwa na Wananchi wenyewe
rais anania ya kweli kulijenga Taifa sasa unaposema analiangamiza taifa nashindwa kukuelewa labda ungetoa mifano kwanini analiangamiza Taifa?
mbege za bure hizo
...Huwezi kuelewa kwa sababu huna nia ya kufanya hivyo. Mifano ipo humu jamvini mingi sana tena ya tangu 2005 mara tu baada ya kuingia madarakani. Itafute labda itakusaidia kufahamu kwanini Kikwete analiangamiza Taifa.
​sidhani kama kikwete analiangamiza Taifa bali Taifa linaangamizwa na Wananchi wenyewe
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/153682-please-kikwete-just-resign.html
Kwani wewe ulimchagua JK!?
Hapana mimi nilikuwa ninamtizamo mkali zaidi dhidi ya kikwete lakini kwa hali ya sasa inabidi apewe nafasi ya kutekeleza mambo yake na si kuongeza mashinikizo mengi. kuna kitu kimoja lazima Wananchi Tutambue unapopanda gari na dereva analiendesha kwa kasi inapofika wakati speed ni 120 km per hr gari linapoyumba suluhu si kumnyanganya usukani dereva , bali ni kusali.Jk anatamani kuwazika watanzania wote kabla hajaondoka madarakani 2015. yaani kwa jinsi anavyotufanyia angeondoka yeye akabaki diwani msangi!
rais anania ya kweli kulijenga Taifa sasa unaposema analiangamiza taifa nashindwa kukuelewa labda ungetoa mifano kwanini analiangamiza Taifa?
...Huwezi kuelewa kwa sababu huna nia ya kufanya hivyo. Mifano ipo humu jamvini mingi sana tena ya tangu 2005 mara tu baada ya kuingia madarakani. Itafute labda itakusaidia kufahamu kwanini Kikwete analiangamiza Taifa.
​sidhani kama kikwete analiangamiza Taifa bali Taifa linaangamizwa na Wananchi wenyewe
wewe si bure
kaka usihukumu usichokifahamu, elimu ni uwezo wa mtu kuishi na jamii na kuweza kuishi na watu wenye mitazamo tofauti nawewe na ukiweza unaweza kuwaongezea maarifa na si kupambana na kila tofauti ya mtazamo. kaka kama umamiliki degree moja rudi shule kwani zimeshakuwa kama darasa la sabahuyu sio jina lake hilo ndio hajui hata kuliandika. Huyu atakua wale ndugu zetu wa kizazi cha beki 3 mama mdogo.
@MUNGI & FILIPO
Inawezekana mnamitazamo tofauti na jamii na maslahi ya taifa lakini jaribuni kuficha hisia zenu za kutukana na kudhani ndio mmefikisha ujumbe, Inawezekana mada hii ikawa nzito zaidi ya nyinyi mnavyotaka kudhani, anyway ni mitazamo yenu lakini ikifika wakati ambapo unadhani kuokoa wengi ni kutosa wachache nje ya jahazi ni wakati huu sasa.
Ukiona jahazi linataka kuzama na baharia anakutazama ujue anataka kukwambia kuokoka ni kutosa mizigo, na jahazi la Tanzania linazama na wakati wa kutosa wazamishaji ni Leo na si kesho
hii krismas naona imeharibu kabisa wengine kama Godwine.... huko nyuma haukua hivyo kabisa aisee, sijui kwanini umeharibika ghafla namna hii:hat:
Kama jahazi unalozungumzia ni "MV Maendeleo" linalotupeleka Tanzania yenye neema basi umeshindwa kutambua wakutoswa ili jahazi lisizame. . Ni sawa na kuwatosa abiria ili kuokoa mizigo!
Tafakari!
Mkuu jina lako ni God Wine au sijaelewa ?