Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Akiwa ziarani rais wa JMT alikiri kutojua chanzo cha umasikini,,akajibu hivi Hata mimi sijui sababu,huwa najiuliza kila siku swali hilo lakini sijapata jibu,mwisho wa kunukuu
Leo namwuliza JK ni zaidi ya mwaka tangu akiri kutojua sababu ya umasikini t Tanzania,na ni zaidi ya mwaka akijiuliza sababu,Je bado hajapata jibu?
Nawasilisha
Leo namwuliza JK ni zaidi ya mwaka tangu akiri kutojua sababu ya umasikini t Tanzania,na ni zaidi ya mwaka akijiuliza sababu,Je bado hajapata jibu?
Nawasilisha