Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,505
Rais amepata safari ya juu kwa juu toka Sri Lanka na sasa yuko Poland kuhudhuria mkutano kuhusu mabadiliko ya tabianchi. Alipita kwa muda Dubai jana na leo asubuhi kaingia Warsaw
Ninafikiri ni uzushi. Kama sio uzushi, basi Mhe Dkt JK kazi anayo! Rais wa nchi, waziri wa mambo ya nchi za nje huyo huyo, waziri wa mazingira na tabianchi huyo huyo, mkurugenzi wa kitengo cha tabianchi huyo huyo! Kuna haja ya Katiba Mpya kuweka kwa uwazi ni mikutano ipi, makongamano yapi , na semina na warsha zipi Rais (simaanishi JK, namaanisha Rais wa JMT) anastahiki kuhudhuria sio kwa nia mbaya au wivu wa kike bali kulinda hadhi ya urais wa JMT!
Hapana Nchi nyingine zimewakilishwa na Mawaziri wa Mazingira Mkuuhivi na maraisi wa nchi nyinge wapo hivi?
Tutajie hao mawaziri.Hapana Nchi nyingine zimewakilishwa na Mawaziri wa Mazingira Mkuu
kabisa! vinginevyo tutakuja chagua Vasco Dagama!
Akitoka hapo achague nchi nyingine aende
Mkutano wa jumuia ya madola ushaisha? JK kala miguu ya kuku sijui...kiguu na njia...hana hata muda wa kukutana Na wenzie wa jumuia ya Afrika ya mashariki.
Huyu anatakiwa aishi huko huko UHAMISHONI,aongoze nchi kwa FAX na E-mail,anapapenda sana unyamwezini.Juzi alikuwa Sri Lanka nilifikiri amerudi kumbe ni juu kwa juu. Kazi ipo