JK ateua majaji mahakama ya rufaa....

Mwana Mpotevu

Platinum Member
Sep 7, 2011
3,295
2,500
Huu ni uteuzi uliotangazwa muda mfupi uliopita

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateuaMajaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani.

Walioteuliwani Jaji Semistodes S. Kaijage na Jaji Kipenka M. Musa na kwa mujibu wataarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Mei 21, 2012 na Katibu Mkuu Kiongozi, BaloziOmbeni Y. Sefue, uteuzi wao ulianza tokea Machi 15, mwaka huu, 2012.

Kablaya kuteuliwa kwake kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji Kaijage (57) alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Dares Salaam tangu Mei 17, 2007. Aliteuliwa kuwa Jaji Mahakama Kuu Novemba 28,mwaka 2000.

NayeJaji Musa (57) alikuwa JajiMfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Tanga kabla ya kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakamaya Rufani. Piaamewahi kuwa Wakili wa Serikali, Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania na Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba. Aliteuliwa kuwa Jajiwa Mahakama Kuu Septemba 13, 2004.

……..Mwisho………..

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam.
21 Mei, 2012

NB: Wateule wote hawa wamebakisha miaka mitatu kabla ya kustaafu
 
They truly deserve!

Tupe sababu?? Means test ni ipi? To me ngoja nione ni kesi ngapi walihukumu zikapigwa chini Court of appeal. To me this could be a best measure to test their competence to what you have termed -"they truly deserve" -to use your words. Kama katika kesi kumi ulizozihukumu over 50% were overturned in the appeal, then ???????
 
Kipenka Musa aliongoza tume iliyomtuhumu Zombe pia....wameteuliwa toka March lakini wanatangaza leo...KULIKONI?
 
majaji wanastafu wakifikisha 65 sio 60 kama wengine
Huu ni uteuzi uliotangazwa muda mfupi uliopita

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateuaMajaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani.

Walioteuliwani Jaji Semistodes S. Kaijage na Jaji Kipenka M. Musa na kwa mujibu wataarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Mei 21, 2012 na Katibu Mkuu Kiongozi, BaloziOmbeni Y. Sefue, uteuzi wao ulianza tokea Machi 15, mwaka huu, 2012.

Kablaya kuteuliwa kwake kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji Kaijage (57) alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Dares Salaam tangu Mei 17, 2007. Aliteuliwa kuwa Jaji Mahakama Kuu Novemba 28,mwaka 2000.

NayeJaji Musa (57) alikuwa JajiMfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Tanga kabla ya kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakamaya Rufani. Piaamewahi kuwa Wakili wa Serikali, Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania na Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba. Aliteuliwa kuwa Jajiwa Mahakama Kuu Septemba 13, 2004.

……..Mwisho………..

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam.
21 Mei, 2012

NB: Wateule wote hawa wamebakisha miaka mitatu kabla ya kustaafu
 
Kutangaza kuwa wameteuliwa March ni ili Serikali iweze kuwapa mishahara kulingana na cheo walichopewa kuanzia mwezi March bila wao kutumikia hivyo vyeo. Angelitangaza kuwa uteuzi wao umeanza leo, maanake wanatakiwa kusubiria mishahara yao mipya mwishoni mwa mwezi wa sita. Kwa maana nyingine rahisi amehalalishia kwa wao kula mishahara miwili kwa mwezi wa tatu na wanne. Unajua tena wakubwa wakila mishara miwili sio soo hapa Tz, ndio maana wamepewa baraka zote toka juu.
Hongereni majaji mkasimamie haki maana ipo siku nanyi mtahukumiwa msipotenda haki.
 
Huu ni uteuzi uliotangazwa muda mfupi uliopita

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateuaMajaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani.

Walioteuliwani Jaji Semistodes S. Kaijage na Jaji Kipenka M. Musa na kwa mujibu wataarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Mei 21, 2012 na Katibu Mkuu Kiongozi, BaloziOmbeni Y. Sefue, uteuzi wao ulianza tokea Machi 15, mwaka huu, 2012.

Kablaya kuteuliwa kwake kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji Kaijage (57) alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Dares Salaam tangu Mei 17, 2007. Aliteuliwa kuwa Jaji Mahakama Kuu Novemba 28,mwaka 2000.

NayeJaji Musa (57) alikuwa JajiMfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Tanga kabla ya kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakamaya Rufani. Piaamewahi kuwa Wakili wa Serikali, Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania na Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba. Aliteuliwa kuwa Jajiwa Mahakama Kuu Septemba 13, 2004.

……..Mwisho………..

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam.
21 Mei, 2012

NB: Wateule wote hawa wamebakisha miaka mitatu kabla ya kustaafu

Nenda kwenye Judges renumeration act ndio utajua maana ya kuwapa Appeal judge post wakati muda umeisha!!!!
 
Huu ni uteuzi uliotangazwa muda mfupi uliopita

TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateuaMajaji wawili wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani.

Walioteuliwani Jaji Semistodes S. Kaijage na Jaji Kipenka M. Musa na kwa mujibu wataarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Mei 21, 2012 na Katibu Mkuu Kiongozi, BaloziOmbeni Y. Sefue, uteuzi wao ulianza tokea Machi 15, mwaka huu, 2012.

Kablaya kuteuliwa kwake kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani, Jaji Kaijage (57) alikuwa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Dares Salaam tangu Mei 17, 2007. Aliteuliwa kuwa Jaji Mahakama Kuu Novemba 28,mwaka 2000.

NayeJaji Musa (57) alikuwa JajiMfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Tanga kabla ya kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakamaya Rufani. Piaamewahi kuwa Wakili wa Serikali, Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania na Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba. Aliteuliwa kuwa Jajiwa Mahakama Kuu Septemba 13, 2004.

……..Mwisho………..

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam.
21 Mei, 2012

NB: Wateule wote hawa wamebakisha miaka mitatu kabla ya kustaafu

Mkuu Mwana Mpotevu hao wanaweza kupiga hadi miaka 65 ama zaidi ikiwa Rais ataagiza kuwa asistaafu baada ya kufikisha miaka 60 Rejea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Ibara ya 120 (1) (2) (3) (4))
 
Last edited by a moderator:
Kimbunga,

Kwahiyo issue ya kustaafu hapa sio ishu, wazee wataendelea kupiga kazi!
 
..hiyo statement huwezi kuamini imeandikwa Ikulu.

..wanapaswa kuandika "Jaji. Kipenka" siyo "Jaji.Musa."

..labda walikuwa na haraka ya kwenda kunywa pombe.
 
Back
Top Bottom