kama ilivyo kawaida ya porojo za ccm kuwa wanamuenzi baba wa taifa huku wakiwa wachafu kimaadili kupindukia,ikiwa sasa kwenye kampeni zake hasa kwenye majimbo yenye wagombea wenye maadili shakani kama chenge,lowasa,rostam yeye amewasafisha japo wanabaki na tuhuma zao mbele ya jamii,hivi atawahutubia nini watanzaania siku ya kumkumbuka mwalimu oct 14?