Nchi iko gizani ni JANGA....kwa hesabu ya juu juu gharama ya ndege malazi na hio petrol iliyotumika ya viongozi kumsindikiza na kumpokea vinywaji pale airport wakimsubiri,Gharama ya masaa waliopoteza kwa kusababisha msongamano mjini...Inaweza kutosha kununua generator ya kuzalisha MW kadhaa
Imefika wakti wa kuhoji hizi safari zinatunufaisha vipi sisi....hakuna nchi ya kiafrika inaweza kuatua matatizo ya ivory coast ni kupoteza tu hela zetu wakti tunazihitaji zaidi
Matatizo yetu yamemshinda bado kushobokea ya wenzake. Analooooooo