Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete yuko hoi hospital ya taifa Muhimbili baada ya kupigwa na mkewe mama Salma katika ugomvi uliotokea ikulu juzi usiku,hata hivyo jana Jk aliruhusiwa kutoka hospital baada ya kupewa matibabu,Dr Salum Hamisi alipoulizwa alisema kweli rais alilazwa juzi na jana tulimruhusu atoke baada ya kupona majeraha aliokuwa nayo.