Tulijua atakwenda kwenye huko kwani Arusha na Tarime aliowapiga risasi si aliatabiriwa na huyo huyo Shehe Yahya. Congratulations and big up to kikwete for doing good job.
Contribution ya Shehe Yahya ktk Taifa la Tanzania, uchawi na ushirikina tunaomba michango mingine kama wananchi mnayo. Tunakumbuka maneno ya kishetani ya Shehe Yahya kuhusu Dr Slaa alipokuwa mgombe wa uraisi kwamba atakufa? jk aliishia kuanguka kikwanjani, seem thats jk na ushirikina go hand to hand. Watanzania asilimia kubwa hatutaki kuhusishwa na hawa washirikina na hasa mtu anayejiita kiongozi wa Taifa, ushetani uishie huko huko kwenu na familia zenu na muache kutuunganisha kitaifa.
"Shehe Yahya Hakutabiri kifo chake? au alikuwa amelala na akaondoka haraka haraka? Hii sign kwamba ccm wamezika chama chao leo"
God protect us from such sins and cover us from devil's hand from North to South and West to East