Moja kati ya sifa nyingine ya Marehem ambayo wasio waislam hawaijui ni kuwa Marehem alikuwa ni mooja kati ya wasomaji wakubwa sana wa wa Qur'an na kuna kipindi alishinda mashindano ya kusoma huko Cairo. Ilibidi washindani wake waingine mitini
Ama kweli msikiti wa Mtoro na K tea shop ya mtaa wa Chagga watakumisss
Inallillahi wa Inna Illahi Raj'uun
Nami najiuliza akiendewa na wateja zake...wanataka ushindi wowote sijui atawaambiaje? Ataweza au hatoweza?...lol.Hapa kinachonisikitisha huyu mwanae Hussein ni kamanda wa CHADEMA na aligombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA jimbo la kinondoni mwaka 2005 na mwaka jana 2010 aligombea Udiwani magomeni kata ya mzimuni kwa tiketi ya CHADEMA lakini kura hazikuosha.
Namshauri aendeleze yale mema tu ya baba yake, lakini hili la kufuga majini na kutoa tabiri za kuwajaza hofu Watanzania halikubaliki. kama kungekuwa na dawa ya kushinda uchaguzi kweli. basi huyu mwanae Sheikh ubwabwa angekuwa tayari ni mbunge au diwani kwa tiketi ya CHADEMA.