bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 495
Mwenyekiti wa CCM leo amewaita wajumbe wa kamati kuu ya CCM na kujadiliana nao maswala kadhaa katika kikao kinachofanyika Ikulu. Swala la uchaguzi Igunga na maamuzi ya mahakama huenda likapewa nafasi kutokana na ushauri wa baadhi ya wana-CCM na aliyekuwa mbunge kutokutaka kukata rufaa licha ya tamko la Nape.
Hii ni picha ya kikao kama ilivyokuwa leo hii.
Hii ni picha ya kikao kama ilivyokuwa leo hii.