Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Ukiamka niambie ili nikupashe habari naona bado umelala.je angemteua Kaka yako? Ungeongea? Hizo ni chuki zilizopitiliza kiasi. Hata kama una ushaidi ni mjomba wake,ilo halituhusu wa-tz,tunachohitaji ni utendaji kazi. Hatutaki kujua mahusiano ya watu.