Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
VickKamata.blogspot.com fuata hiyo link and also see the below photo.Vicky kamata ni nani ??? Tupeni dat tuchangie !!!
View attachment 38771
Picha kwa hisani ya Ikulu Mawasiliano
VickKamata.blogspot.com fuata hiyo link and also see the below photo.Vicky kamata ni nani ??? Tupeni dat tuchangie !!!
GreatThinkers,
Filamu anazocheza Jk ni zile zile ingawa zina Title tofauti. Ni kweli Mh. Ndikilo mkuu mpya wa mkoa wa Mwanza ni Mjomba wa Vicky Kamata ushahidi ninao
Sijajua ni kwa nini mbinu hii chafu anaiendekeza, leo hii naandika nikiwa Nairobi-Kitongoji cha Makadara.
Nikitua Bandari ya Salama itabidi nandike bango pale Magogoni ili akilisoma anijibu kupitia hotuba zake mwisho wa mwezi anazotayarishiwa na Mwimbaji wa Taarabu.
Nawasilisha.
je angemteua Kaka yako? Ungeongea? Hizo ni chuki zilizopitiliza kiasi. Hata kama una ushaidi ni mjomba wake,ilo halituhusu wa-tz,tunachohitaji ni utendaji kazi. Hatutaki kujua mahusiano ya watu.
Mnataka tuivumilie Nepotism kwenye siasa za Tanzania?ulitaka amteue RAIS WA MASHAROBARO AU DIAMOND AWE MKUU WA MKOA???KAMA PENZI ANATOA VICKY KWA NINI NDUGU WASILE MATUNDA YAKE BANA NA WEWE TAFUTA NDUGU NAE AKALE MEMA YA NCHI KAMA ATVUMILIA
vicky kamata ni nani ??? Tupeni dat tuchangie !!!
Kumbe ni hivyo?Mjomba Mkwe.
GreatThinkers,
Filamu anazocheza Jk ni zile zile ingawa zina Title tofauti. Ni kweli Mh. Ndikilo mkuu mpya wa mkoa wa Mwanza ni Mjomba wa Vicky Kamata ushahidi ninao
Sijajua ni kwa nini mbinu hii chafu anaiendekeza, leo hii naandika nikiwa Nairobi-Kitongoji cha Makadara.
Nikitua Bandari ya Salama itabidi nandike bango pale Magogoni ili akilisoma anijibu kupitia hotuba zake mwisho wa mwezi anazotayarishiwa na Mwimbaji wa Taarabu.
Nawasilisha.
Msiwe mnadandia hoja kama daladala,Natoa Tamko: Ma-wivu tuyaache.. Mawivu ni mavidonda, ukiyashiriki utakondaga..
Mjomba Mkwe.
Inauma sana kupata taarifa kama hiyo.
Ikiwa anaweza kumpatia ukuu wa mkoa hivi anashindwa kuwatoa wakina Papikocha.
Kama ni mapenzi kwani hajawahi gombana na vicky?
Na mbona vicky yuko na mpenzi wake mbona anakubali kushare na hamfungi?
Huyu jamaa kila speech yake anatabasam usoni rohombaya iko moyoni.