SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
nilimtazama alipokua ana kenua, honestly i was very surprised on top of that wakati waziri wake wa fedha mwenye asili ya Lilongwe alipokua akisaini makubaliano ya mkopo ya dola 25o mil ati aki kiri kua hizo hela zitaliwa na wachache akasema "unajua hapa bongo, lazima kitu kama hicho kitokee" i was extreemly shocked, waziri wa fedha anasema hivyo, aixee!!
Nimependa sana huo msamiati hapo kwenye rangi ya majani.