MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Hell NO, hata kumtoa kwa mtutu tutamtoa, utumbo aliotufanyia unatosha. Bora nchi isiwe na Rais kuliko kuwa na Kikwete.
Unafaa kuwa Rais ajaye gombea na wewe tukupime
Hell NO, hata kumtoa kwa mtutu tutamtoa, utumbo aliotufanyia unatosha. Bora nchi isiwe na Rais kuliko kuwa na Kikwete.
sijaona mantiki ya thread hii inaleta uchonganishi hapa
Hell NO, hata kumtoa kwa mtutu tutamtoa, utumbo aliotufanyia unatosha. Bora nchi isiwe na Rais kuliko kuwa na Kikwete.
MMBEYA SHANGAZI YAKO KABLA SIJASAHAU..........hivi uko dunia yangapi kengemaji wewe..huoni au hujasikia vituko vya RAIS WADE wa Senegal anayegombea kwa mara ya 3 kwa kisingizio cha katiba mpya......tupe maoni yako kuwa utafanyeje ikitokea hali kama hiyo...
Mimi najaribu kuwazindua tu kuhusu uwezekano wa kitu kama hicho kutokea hapa TZ