Hercule Poirot
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 1,717
- 1,472
Wakuu hivi mmewahi kufikiria au imewahi kukupitia ktk mawazo yako ikiwa Rais wetu Mheshimiwa sana Dk. Jakaya M. Kikwete akaomba kugombea tena Urais 2015 kwa mwanya/kisingizio cha kuwapo KATIBA MPYA (Kama ikiwa ishapita kabla ya 2015 - ujanja huo anaufanya sasa Abdoulaye Wade wa Senegal)....
Wewe kama mwana JF na Mtz ikiwa itatokea hivyo (UWEZEKANO HUO UPO, SIJAWAHI KUMSIKIA MKULU KUZUNGUMZIA KUNGATUKA KIKATIBA 2015) una m,aoni gani? Na utachukua hatua gani ? Ni mawazo tu wajameni..
Wewe kama mwana JF na Mtz ikiwa itatokea hivyo (UWEZEKANO HUO UPO, SIJAWAHI KUMSIKIA MKULU KUZUNGUMZIA KUNGATUKA KIKATIBA 2015) una m,aoni gani? Na utachukua hatua gani ? Ni mawazo tu wajameni..