mwekundu JF-Expert Member Mar 4, 2013 21,859 19,700 May 25, 2014 #3 Hii imekaa poa sana,siasa sio chuki kama anavyofanya mbunge wa "hamna dhambi kubwa kama uoga"
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 May 25, 2014 #4 ​utadhani anafurahia mwenzie kuumwa
Bishop Hiluka JF-Expert Member Aug 12, 2011 7,140 14,678 May 25, 2014 #5 I see, nampa pole sana huyo mama. Mungu amsaidie apone na kurejea kwenye majukumu yake...
Simiyu Yetu JF-Expert Member Apr 29, 2013 18,949 4,633 May 25, 2014 #6 mikatabafeki said: ​utadhani anafurahia mwenzie kuumwa Click to expand... Acha upuuzi wewe mambo yako ya kitoto yaishie kwenye utoto wenu.
mikatabafeki said: ​utadhani anafurahia mwenzie kuumwa Click to expand... Acha upuuzi wewe mambo yako ya kitoto yaishie kwenye utoto wenu.
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 May 25, 2014 Thread starter #7 Kwa hili JK ntammis sana. Ana moyo wa kipekee.
T The_Analyst JF-Expert Member Nov 25, 2008 218 52 May 25, 2014 #8 hajaenda kumtembelea vicky k akaanza na gia za zitto kwanza??
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 May 25, 2014 #9 Simiyu Yetu said: Acha upuuzi wewe mambo yako ya kitoto yaishie kwenye utoto wenu. Click to expand... nilijua tu watoto wa kambo wa nyumba ndogo lazima mje mnatoka povu hapa
Simiyu Yetu said: Acha upuuzi wewe mambo yako ya kitoto yaishie kwenye utoto wenu. Click to expand... nilijua tu watoto wa kambo wa nyumba ndogo lazima mje mnatoka povu hapa
Asprin JF-Expert Member Mar 8, 2008 68,012 95,358 May 25, 2014 #10 Ndibalema said: Kwa hili JK ntammis sana. Ana moyo wa kipekee. Click to expand... Akienda na kwa mjane wa Mwangosi ntazidi kumuongezea credits
Ndibalema said: Kwa hili JK ntammis sana. Ana moyo wa kipekee. Click to expand... Akienda na kwa mjane wa Mwangosi ntazidi kumuongezea credits
ngoshombasa JF-Expert Member Feb 26, 2008 435 232 May 26, 2014 #11 ZZK Kijana wa System huyo (Usalama anatumika), eti siasa sio uadui! wangapi ndani ya CCM wanauguliwa JK hawatembelei? hivi Lipumba alipofiwa na Kaka yake Sinza JK alienda?
ZZK Kijana wa System huyo (Usalama anatumika), eti siasa sio uadui! wangapi ndani ya CCM wanauguliwa JK hawatembelei? hivi Lipumba alipofiwa na Kaka yake Sinza JK alienda?
bysange JF-Expert Member Jan 11, 2011 4,456 1,563 May 26, 2014 #12 Safi sana Rais huu ndio ubinadamu kujaliana kipindi cha shida.