Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Ndugu wana JF, nadhani mmepata kumsikia ndugu mheshimiwa sana bwana Jk akipata kunena hayo, Binafsi sijamwelewa haswa anamaanisha nini na kwa upande wake hutumiaje hayo atakayo sisi tuyashike ktk undendaji kazi na shughuri zake za kila siku? Je amepata kuwaambia maneno haya wafuasi wake wa karibu na wanachama wa chama chake? Binafsi simuelewi, Ananichanganya sana!