Mshkaji kwa mujibu wa maelezo yako, yao.
nekana umeinvest heavily maeneo hayo.
Asante,
Huenda ikawa kweli siku za usoni, dua lako na litimie,ameen.
Mshkaji kwa mujibu wa maelezo yako, yao.
nekana umeinvest heavily maeneo hayo.
Huenda kwenye ulaji huu hakuna mtu wake hivyo ameamua kujitoa kimasomaso. Mbona haoni ulaji wa Tanesco, IPTL, Dowans na madudu mengine mengi yenye kila baraka zake? Mbona haoni madudu ya WAMA na uagizaji mafuta nje ambapo kuna mkono wa watu wake wakiongozwa na Rahma Kharoos Kasiga aka Nyumba ndogo ya mkubwa wa inchi? Mambo mengine yanachekesha. Hata hivyo haiko mbaya hizo ndizo sanaa za mkuu mwenyewe. Yeye akifuja pesa ya umma kwa matanuzi ughaibuni si kufuja siyo?
Stendi ya Dar inatakiwa kuwa nyuma ya Mbezi, otherwise ni kuchochea foleni!
Si waiamishie pale manzese darajani
Siku zote raisi makini, anafanya maamuzi makini. Hongera jakaya.
Naona hata wewe umeniangalia mimi badala ya kuangalia issue. Jaribu kuangalia issue utaona ni wapi umenoa ebo!
raisi kikwete kawaagiza mkuu wa mkoa wa dar na menaja wa tanrods mkoa wampe majibu ndani ya wiki moja ni wapi itajengwa stendi mpya baada ya ile ya ubungo kuhamishwa.
Amekataa wazo lao la kujenga stendi ya muda pale chuo kikuu (udsm) na kuwaambia huko ni kufuja fedha za serekali.
Jk alikuwa anaweka jiwe la msingi ktk mradi wa mabasi yaendao kasi.
Siku zote raisi makini, anafanya maamuzi makini. Hongera jakaya.
Raisi kikwete kawaagiza mkuu wa mkoa wa dar na menaja wa tanrods mkoa wampe majibu ndani ya wiki moja ni wapi itajengwa stendi mpya baada ya ile ya ubungo kuhamishwa.
Amekataa wazo lao la kujenga stendi ya muda pale chuo kikuu (udsm) na kuwaambia huko ni kufuja fedha za serekali.
Jk alikuwa anaweka jiwe la msingi ktk mradi wa mabasi yaendao kasi.
Tumeliwa..huu si uamuzi makini.....ni maslahi binafsi........" kwa wale msioelewa ni hivi kwamba mapendekezo ya rais na wabunge wa mkoa wa Pwani ni kwamba kituo kipya cha mabasi ya Dar kwa sasa kinatakiwa kiwe mkoa wa Pwani kwa kisingizio cha kupunguza msongamano na kufanya mkoa huo ukue haraka..... (utakumbuka Kikwete ni mzaliwa na mbunge wa Bagamoyo).... Ilikuwa kituo cha Ubungo kipanuliwe kwa kuchuka eka saba, eneo ambalo lipo nyuma ya kituo hicho...na mchakato uliishaanza na wanaoondolewa waliishataarifiwa... Eneo hilo likichukuliwa na kudesign triple loading structure ( jengo lenye level tatu za kupaki mabasi)hakuwakuwepo na haja ya eneo mbadala kuweka kituo bali Ubungo bus terminal itajitosheleza.... Sasa huyu mzee wetu anapolazimisha watafute eneo lingine kubwa kwa Dar ndani ya muda mfupi huo unadhani analenga niniSiku zote raisi makini, anafanya maamuzi makini. Hongera jakaya.
Tumeliwa..huu si uamuzi makini.....ni maslahi binafsi........" kwa wale msioelewa ni hivi kwamba mapendekezo ya rais na wabunge wa mkoa wa Pwani ni kwamba kituo kipya cha mabasi ya Dar kwa sasa kinatakiwa kiwe mkoa wa Pwani kwa kisingizio cha kupunguza msongamano na kufanya mkoa huo ukue haraka..... (utakumbuka Kikwete ni mzaliwa na mbunge wa Bagamoyo).... Ilikuwa kituo cha Ubungo kipanuliwe kwa kuchuka eka saba, eneo ambalo lipo nyuma ya kituo hicho...na mchakato uliishaanza na wanaoondolewa waliishataarifiwa... Eneo hilo likichukuliwa na kudesign triple loading structure ( jengo lenye level tatu za kupaki mabasi)hakuwakuwepo na haja ya eneo mbadala kuweka kituo bali Ubungo bus terminal itajitosheleza.... Sasa huyu mzee wetu anapolazimisha watafute eneo lingine kubwa kwa Dar ndani ya muda mfupi huo unadhani analenga nini
stendi ya dar inatakiwa kuwa nyuma ya mbezi, otherwise ni kuchochea foleni!
nakubaliana na wewe mkuu,ikiwezekana iwe kibaha maana hata nchi za wenzetu stand za mabasi yatokayo nje ya mji husimama pembezoni ya mji na hapo ndipo mabasi kama daladala hufanya kazi yake
nampongeza mh raisi kwa kukataa stand ya muda
sikubaliani na mfano kuwa hata nchi za wenzetu stand ya mabasi huwa nje ya mji, kuna miji mikubwa niliyotembelea ambayo stend kuu ya mabasi na tren/tram ziko at the heart of the city, mfano helsink. Kinachotusumbuaa sisi ni kuwa myopic juu ya tatizo halisi, tatizo kubwa la folen dar ni kutokuwa na barabara na huduma muhimu kuwa kwenye small central sport. Tuache brabra, angalia, few years ago barabara ya kilwa alikuwa na foleni ya kutisha, baada ya kujengwa double road sasa kwenda mbagala ni few minutes. inanisikitisha rais anapoingia kwenye upinzani wa mipango ya muda mrefu ambayo imeshatengewa na fedha. Shame.
hujaeleweka mkuu
hapo ktk red,mh rais hataki kuanzishwa kwa kituo cha muda cha mabasi,kuanzisha kituo hicho ni sawa na kufanya kazi mala 2,yaani leo kituo kisicho cha kudumu na kesho kituo cha kudumu,je hizo pesa za kuanzishia kituo cha muda kwanini zisiunganishwe na pesa za kuanzisha kituo cha kudumu ili tupate kituo chenye ubora wa hali ya juu?
Bado sija kuelewa nini unatetea? Ama nawe ni 10% mnao faidika na hicho kituo cha muda?
Si waiamishie pale manzese darajani