Rais Jakaya Kikwete akikagua akiba ya chakula katika ghala la Taifa linalohifadhi akiba ya chakula lililopo Changombe mjini Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula, Charles Walwa, na watatu kulia ni Waziri wa kilimo Chakula na Ushirika Profesa Jumanne Maghembe. (Picha na Freddy Maro).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.