BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Feb 5, 2012 #1 Amesema wana ccm wasiwachague viongozi wenye tuhuma!jee wakati ana wanadi mramba,chenge,rostam ubunge hakujua hilo?
Amesema wana ccm wasiwachague viongozi wenye tuhuma!jee wakati ana wanadi mramba,chenge,rostam ubunge hakujua hilo?
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 15,986 7,366 Feb 5, 2012 #3 I hate jk so much that i can taste it.
kapotolo JF-Expert Member Sep 19, 2010 3,727 2,214 Feb 5, 2012 #4 zile sio tuhuma ni ajali za kisiasa
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,614 68,543 Feb 5, 2012 #5 Khaaa bado tu ujamsoma huyo jamaa? Ni kigeugeu huyo aaminiki huyu,muulize lowassa anamjua? Kamshawishi aandike barua ya kujiuzulu u-PM ili akieleta kwake aikatae na wakakubaliana lkn ilivyofika kwake akaipitisha khaaa huyo ndo jeikei kigeugeu
Khaaa bado tu ujamsoma huyo jamaa? Ni kigeugeu huyo aaminiki huyu,muulize lowassa anamjua? Kamshawishi aandike barua ya kujiuzulu u-PM ili akieleta kwake aikatae na wakakubaliana lkn ilivyofika kwake akaipitisha khaaa huyo ndo jeikei kigeugeu
mpinga shetani JF-Expert Member Nov 22, 2010 3,236 954 Feb 5, 2012 #6 Mods hamisheni hii... kama ilivyo kawaida yenu
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,867 11,246 Feb 5, 2012 #7 JK bila unafiki haiwezekani!!!!!!!!!!
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Feb 5, 2012 #8 BONGOLALA said: Amesema wana ccm wasiwachague viongozi wenye tuhuma!jee wakati ana wanadi mramba,chenge,rostam ubunge hakujua hilo? Click to expand... Kwa wale mlio mchagua jibuni hili: anatuhuma za IPTL, meremeta na hata Anglogold. Sijui kwa nini mlichagua. Ciao.
BONGOLALA said: Amesema wana ccm wasiwachague viongozi wenye tuhuma!jee wakati ana wanadi mramba,chenge,rostam ubunge hakujua hilo? Click to expand... Kwa wale mlio mchagua jibuni hili: anatuhuma za IPTL, meremeta na hata Anglogold. Sijui kwa nini mlichagua. Ciao.
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,350 Feb 5, 2012 #9 akacheze bao Bagamoyo hukoo, anatuharibia nchi yetu kwa majungu