Najaribu ku-upload video yake kwenye simu nimeshindwa. Nikirudi ofisini ntatumia copmyuta ingawa najua kuna watu wanaweza kutuwekea hapa
hata video hujaona? au kisimu chako ni kile kinasubiri kuzimwa na TCRAMbona hajaonekana, tunasoma tu taarifa.
Lete vioja vyenu, msihamishe magoliKwa maana hiyo Mnyika sasahivi siyo Mkurugenzi wa Mawasiliano tena wa chama bali ni Mwanasheria? Kesi kafungua John Mallya au Mnyika? Zitto, Slaa na Mnyika cdm wamewalazimishia sana matukio ngoja muda c mrefu tutasikia akiitwa msaliti.
Huku ndo kuhamisha magoli kwenyewe. We ofisi yangu inakuhusu nini?Matumizi mabaya ya ofisi ha!ha!
Twambieni mlisema atahamia Ccm, mambo ya majukumu yake hayakuhusuDu yaani Hiyo ndio issue ya kujivunia mnyika kuibuka?, kwahiyo Hiyo ndio kazi ya naibu katibu mkuu.
Hawawezi jibu hili.....Afu mleta uzi katoka shimoniSasa kakubali Lowassa kuwa ni msafi?
Tuletee ushaidi kwamba Mnyika alipinga ujio wa Lowassa vinginevyo acha majunguHawawezi jibu hili.....Afu mleta uzi katoka shimoni
Ni lini MNYIKA alifuta kauli yake juu ya LOWASSA pindi bado yupo CCM????....niletee uo uthibitisho wa MNYIKA kufuta hiyo kauli NDIPO useme kwamba MNYIKA anakubaliana na UJIO WA LOWASSA chademaTuletee ushaidi kwamba Mnyika alipinga ujio wa Lowassa vinginevyo acha majungu
Wewe kazi yako nini!?Du yaani Hiyo ndio issue ya kujivunia mnyika kuibuka?, kwahiyo Hiyo ndio kazi ya naibu katibu mkuu.
Vipi huko hamna ukaguzi wa vyetii?Vya CCM vinavyoendelea hapa
Mzee Tupatupa
Nina ushahidi tosha kuhusu ufisadi wa Lowasa. ~~~ J MnyikaNgoja waje wazee wa matamko akina Lizaboni