Jiwe la sumu ya nyoka

Iliwahi nitokea Kijijni kwetu, asubuhi na mapema, najiaandaa kuvaa kiatu, wakati nakung'uta kiatu kama ilivyo ada, Nyoka anatoka ndani ya kiatu ....


Sikumpa nafasi nilichukua fimbo ya Mzee inayokaa nyuma ya Mlango nikampiga hakika pigo langu lilikuwa sawia ...

Nyoka ni Hatari sana ni vizuri kuchukua tahadhari kuwa na mawe kama hayo ndani ya Nyumba...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliponea tundu la sindano

Jr
 
Mkuu hata coin ya Sh 100 ni kiboko kwa kuvuta sumu
Hakikisha unaweka hio coin ya Sh100 juu ya kabati au popote sehem nzuri kama akiba kwa ajili ya kuumwa na Nge au Nyoka
 
Ndio shida yakufuga viumbe hao umeshindwa kuwapa kafara yao sio ee.Ndio maana wanataka kukuwahisha
 
Ni kwamba lile jiwe la nyoka ni compound ya POTASSIUM PERMANGANATE, ina oxidation state kubwa hivyo kufanya kazi hiyo unapong'atwa na nyoka, Hii kisayansi inafahamika Sana tu, siyo kitu cha ajabu.
 
Ni kwamba lile jiwe la nyoka ni compound ya POTASSIUM PERMANGANATE, ina oxidation state kubwa hivyo kufanya kazi hiyo unapong'atwa na nyoka, Hii kisayansi inafahamika Sana tu, siyo kitu cha ajabu.
Hicho ndio kitu cha ajabu sasa.. Hayo sijui ma kampaundi ya potasiumu
 
Jiwe LA kunyonya sumu ya nyoka.Nasikia kuna mengine sio ni bandia.Je nitalijuaje kama hili ndilo lenyewe? Mshana Jr na mnaofaham nijulisheni.

Sent from my HUAWEI CUN-U29 using JamiiForums mobile app
 
hakuna kiumbe nakigopa Kama nyoka, hata nikikuta amekufa mwili hunisisimka.
Tupo wote hapo..! Yaani na uanaume wangu wote..! Nikisikia maeneo haya yana nyoka nahama muda huohuo..! Yaani naogopa nyoka zaidi ya mungu..!
sorry kwa wafia dini..!
 
Scientific studies mbalimbali zimeproof hilo jiwe maaarufu kama black stone' or snake stone' halina uwezo wowote wa kuondoa sumu ya nyoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…