FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 7,627
- 9,321
Hii serikali haina sifa ya kuchangiwa.Bado sijasahau rambirambi za Lucky Vincent na tetemeko la Kagera na kauli za namba one kuhusu mafuriko ya lindi.
Hiyo pesa kuliko kuchanga nitawanunulia stock ya chakula ndugu zangu na wasiojiweza.