bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,355
- 6,791
Jamani haya mambo mengine hata hayafai kuzungumziwa hapa. Hivi huyu mzee mzima munamuadhirisha namna hii maana yake nini? Kama amepitikiwa kama mwanadamu mwengine ndiyo mumuadhirishe namna hii?
Bwana Moderator tafadhali ondoa hii, leo yeye kesho anaweza kuwa mzee wako utakubali haya?
Bwana Moderator tafadhali ondoa hii, leo yeye kesho anaweza kuwa mzee wako utakubali haya?