Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,479
- 11,671
Mafua yanasababishwa na virus siyo bacteria.kukausha mucus? nilijua kuua bacteria wasababishao mafua. Hence ninapingana na ushauri wako
hapana mkuu sijakubishia but me pia nipo kwenye kautafiti kangu na taratibu naanza kuona mwanga.Sifa kubwa ya msomi huwa hatoi majibu pasi na kutoa facts.
Sasa hako kajamaa kanabisha lakini ukikiiuliza kinabisha nini hakijui.
Haemophilus influenzaeMafua yanasababishwa na virus siyo bacteria.
Wanaume huwa hawaandiki hiv nmeshapata conclusion kuwa ww ni Gay
Kwani hukuambiwa maziwa ya mende yana afya?
Apana
Kwa hiyo wewe msomi? umesomea niniSifa kubwa ya msomi huwa hatoi majibu pasi na kutoa facts.
Sasa hako kajamaa kanabisha lakini ukikiiuliza kinabisha nini hakijui.
Natamani sana nijue shape ya ubongo wako lakini ipo siku nitapata tu.
Chonde-chonde; ubongo unakaa ndani ya fuvu la kichwa. Sasa, Angalia/Tahadhari, isije ikawa unalazimika kulipasua hilo fuvu la kichwa ili ujue shape ya ubongo wake.Natamani sana nijue shape ya ubongo wako lakini ipo siku nitapata tu.
Ni kweli, tena virus wanaosababisha mafua wapo wa aina (Strains) nyingi na tofauti na pia ukali (virulence) wa mafua wanayosababisha. Rejea mafua makali ya ndege (HN1) yanaua wakati mafua mengine yanakukosesha raha tu.Mafua yanasababishwa na virus siyo bacteria.