Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,905
- 31,686
Nimefanya utafiti kwa muda mrefu hatimaye nimegundua kuwa sigara inaponesha kabisa mafua hasa yale mafua yanayochuluzika.
Unatakiwa ukiwa unavuta sigara utoe moshi mwingi puani,,huo moshi ukiwa unatoka unaenda kukausha unyevunyevu uliopo puani.
Wingi wa idadi ya sigara unazotakiwa kuvuta utategemea wingi wa hayo mafua.
Unatakiwa ukiwa unavuta sigara utoe moshi mwingi puani,,huo moshi ukiwa unatoka unaenda kukausha unyevunyevu uliopo puani.
Wingi wa idadi ya sigara unazotakiwa kuvuta utategemea wingi wa hayo mafua.
