Eghainimalinya
JF-Expert Member
- Feb 6, 2018
- 214
- 267
Wabongo bhana sasa wewe hiki ulichoandika humu unajiona uko sahihi!!!?
Watu wanafanya vile kuwapa wengine chachu ya kufanya vitu hivyo
Na kuhusu kuitumia mitandao kujielimisha: iko hivi mm napost picha ya ndinga yangu ambayo nimeagiza kutoka japana lkn wakati huo huo kuna rafiki yangu anataka kuagiza gari lakini hajui aanzie wapi pengine kwa kuhofia kuibiwa kupitia post yangu ya gari atapata ufafanuzi na elimu ya kutosha kutoka kwangu na hivyo ataagiza gari bila hofu
Watu wanafanya vile kuwapa wengine chachu ya kufanya vitu hivyo
Na kuhusu kuitumia mitandao kujielimisha: iko hivi mm napost picha ya ndinga yangu ambayo nimeagiza kutoka japana lkn wakati huo huo kuna rafiki yangu anataka kuagiza gari lakini hajui aanzie wapi pengine kwa kuhofia kuibiwa kupitia post yangu ya gari atapata ufafanuzi na elimu ya kutosha kutoka kwangu na hivyo ataagiza gari bila hofu