Jitathimini mwenyewe katika mitandao ya kijamii

Jitathimini mwenyewe katika mitandao ya kijamii

MartinCoder

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2018
Posts
700
Reaction score
630
Kwa asilimia kubwa wabongo tunatumia mitando ya kijamii kutukana (hasa kipindi hiki cha Magu), kutupia picha za hovyo, kujisifia kwa kutupia mapicha kwenye facebook/insta (mfano mtu kila akivaa nguo nzuri, au yupo nje ya nchi mfano UK au kwenye ndege au yupo anakula msosi mzuri kwenye hotel nzuri nakadhalika, basi kila sehemu anapiga picha na kutupia facebook/insta ili ajioneshe na kusifiwa).

Mwingine akinunua gari au kajenga nyumba bas anapga picha na kurusha fb aonekane naye yumo! halafu chini anaandika " Alhamdulillah=namshukuru Mungu ". Sasa ndugu yangu,Mungu anashukuriwa mtandaoni ili watu wa-comment shukrani yako? Au ni kutaka kujionesha?

Tuacheni ulimbukeni !

Tumia mitandao kwa manufaa! Hasa kujielimisha mambo mbalimbali .

UPDATES:

Mojawapo ya jambo linalokwamisha maendeleo ktk nchi yetu ni uvivu na kupoteza muda hasa katika mitandao ya kijamii kwa kutupia vitu visivyo na faida kiuchumu, kielimu, kijamii, n.k hasa misifa mingi ktk mitandao ya kijamii.

nyote mnaopinga thread hii naona mnatetea upuuzi tu usio na maslahi kijamii au kitaifa kwa ujumla.

WE UTAWEZAJE KUSEMA HUFANYI HALAFU UNAPINGA THREAD HII??. HATA KAMA VOCHA/KIFURUSHI/SIMU VYOTE VYAKO!!! HUU UPUUZI HAUFAI. KAMA UNASEMA VOCHA/KIFURUSHI/SIMU VYOTE VYAKO HIVO TUSIKUPANGIE MATUMIZI ,MBONA NABII TITO YUPO SERO? AU TUMBO ALILOTAKA KUCHANA SIO LAKE!!
 
Tuanze kwa wewe kutuelimisha malengo mahsusi la mitandao ya kijamii ni yapi? je yamefikiwa au bado? nini kifanyike ili malengo hayo yafikiwe. [ 10 Marks]

Nakupa 5 tu kwanza :
1. Kutangaza biashara au kufanya promotions n.k mfano kwa kutumia facebook page, instagram au whatsap groups
2. Kujielimisha mambo mbali mbali : mfano ktk jukwaa la elimu JF
3. Kupata marafiki wapya ndani na nje ya nchi kupitia mitandao ya kijamii
4. Kupata marafiki uliowapoteza muda mrefu
5. kujiunga katika magrup yenye mijadala mbali mbali yenye faida
 
Nakupa 5 tu kwanza :
1. Kutangaza biashara au kufanya promotions n.k mfano kwa kutumia facebook page, instagram au whatsap groups
2. Kujielimisha mambo mbali mbali : mfano ktk jukwaa la elimu JF
3. Kupata marafiki wapya ndani na nje ya nchi kupitia mitandao ya kijamii
4. Kupata marafiki uliowapoteza muda mrefu
5. kujiunga katika magrup yenye mijadala mbali mbali yenye faida
Kwa muktadha huo, hao wanaotuma picha wanalengo la kuwavutia marafiki wapya, hivyo matendo yao yamekuwa captured na number 3
 
Kwa muktadha huo, hao wanaotuma picha wanalengo la kuwavutia marafiki wapya, hivyo matendo yao yamekuwa captured na number 3

tehe !!! uko sawa ila nia/malengo huwa yanatofautiana : kuna anayetupia picha kwa ajili ya kupata rafiki na kuna anayetupia picha kwa ajili ya kuji show off / kujionesha kwa ajili ya kupata misifa.
 
tehe !!! uko sawa ila nia/malengo huwa yanatofautiana : kuna anayetupia picha kwa ajili ya kupata rafiki na kuna anayetupia picha kwa ajili ya kuji show off / kujionesha kwa ajili ya kupata misifa.
Umeanza na kipindi hiki cha PiiiheechiDiii Just Praise Me. Anahusikaje na picha za watupiaji kwenye mitandao?
 
Kila MTU Ana Uhuru was kutumia mtandao wa kijamii kwa jinsi aonavyo yeye.
Usiwapangie watu. Kama huna interest kaa pembeni angalia tuu.
Kwani simi, bundle n za kwao,
Account, marafiki n uchaguzi wako sasa
 
Kila MTU Ana Uhuru was kutumia mtandao wa kijamii kwa jinsi aonavyo yeye.
Usiwapangie watu. Kama huna interest kaa pembeni angalia tuu.
Kwani simi, bundle n za kwao,
Account, marafiki n uchaguzi wako sasa

Nawe umo nini!!! nimekugusa.ILA KAWAIDA JIWE UKIRIRUSHA LAZIMA LI-PIGE KITU CHOCHOTE ! HVO NAHISI JIWE LIMEKUPIGA
 
HII MITANDAO YA KIJAMII SIKU IKIFUNGIWA NAHISI KUNA WATU WATAUGUA UGONJWA WA MILELE!!

NA WALE WANACHUO WALIOZOEA KU GOOGLE KILA WANAPOPEWA ASSIGNMENT (COPY AND PASTE): SIKU GOOGLE IKIFUNGIWA NAHISI KILA SIKU WATAOTA SUP NA DISCO.
 
Kwa nn umpangie mtu cha kupost?

Kama ad ulipofikia hujawai kua ni kitu cha kuwaringishia wenzako pambana!
 
Kwa nn umpangie mtu cha kupost?

Kama ad ulipofikia hujawai kua ni kitu cha kuwaringishia wenzako pambana!

nawe jiwe limekupga umo!! vya kuringisha nnavyo tele ! ila kuringa/kuringsha si katika mwenendo mzuri ktk jamii niliyopo
 
Nawe umo nini!!! nimekugusa.ILA KAWAIDA JIWE UKIRIRUSHA LAZIMA LI-PIGE KITU CHOCHOTE ! HVO NAHISI JIWE LIMEKUPIGA
Wala
Just a matter u atakiwa ujue reality na sio Una bwabwaja tu
Pasipo uelewa
 
HII MITANDAO YA KIJAMII SIKU IKIFUNGIWA NAHISI KUNA WATU WATAUGUA UGONJWA WA MILELE!!

NA WALE WANACHUO WALIOZOEA KU GOOGLE KILA WANAPOPEWA ASSIGNMENT (COPY AND PASTE): SIKU GOOGLE IKIFUNGIWA NAHISI KILA SIKU WATAOTA SUP NA DISCO.

thinking of impossible ....pole ndugu
 
Back
Top Bottom