nakubaliana na wewe kabisa. hata mimi watoto wangu wote lazima wasome masomo ya sayansi tena nataka wawe madaktari. Mungu atawasaidia. however, ukiangalia mabilionea wote tz hakuna aliyesoma masomo ya sayansi. pia ugonjwa mkubwa wa watz ni rushwa, kati ya wale waliokula ESCROW ukianza na mzee wa tumbili hadi woote, hakuna aliyesoma sayansi hata mmoja. hivyo hata arts ina mazuri yake pamoja na kwamba sayansi ni bora zaidi kwa kupata hela ya halali, art ni kupata hela ya wizi. mimi ni lawyer najua ninachoongea.
nasikia Mafuruki na yule Mo Ibrahim ni wanasayansi. inawezekana wanasayansi huridhika na ajira na mishahara yao ambayo relatively ni mizuri . ila ninaamini ukichukulia wastani wa kipato cha graduate wa art na sayansi, wa sayansi yuko mbali sana.nakubaliana na wewe kabisa. hata mimi watoto wangu wote lazima wasome masomo ya sayansi tena nataka wawe madaktari. Mungu atawasaidia. however, ukiangalia mabilionea wote tz hakuna aliyesoma masomo ya sayansi. pia ugonjwa mkubwa wa watz ni rushwa, kati ya wale waliokula ESCROW ukianza na mzee wa tumbili hadi woote, hakuna aliyesoma sayansi hata mmoja. hivyo hata arts ina mazuri yake pamoja na kwamba sayansi ni bora zaidi kwa kupata hela ya halali, art ni kupata hela ya wizi. mimi ni lawyer najua ninachoongea.
ndiyo maana nimesema jitahidi. we fanya bidii zote mwisho wa siku matokeo yake yataamua.Kama mwanao ana kichwa kidogo haviwezi kuhimili hayo mambo ya science kwanini umtengenezee zero katika maisha yake the world is charging and what the child wants to accomplish in his future is his/her decision usitake apate zero kisa atapata tempo akafundishe au akaanze certificate huoni kama utakuwa umemrudisha nyuma na miaka inaenda plus pesa imekuwa ngumu
Still bado uko na LIMITED MIND kusoma sio kupata ajira TU bali kupata maarifa ambayo yanaweza kusaidia katika maisha yako na hayo maarifa hayapatikan tu kwa kusoma PCB ama CBG.
Unaweza soma hyo PCB yako na ukaajiriwa ila mimi niliesoma arts na kukosa ajira na nikawa na maisha MAZURI kuzid wewe
mimi pamoja na kusoma sayansi nataka kujiajiri na soon ntajiajiri fulltime. hatuwezi pinga kwamba nchi yetu ambayo middle class ni wachache kujiajiri ni kugumu na ajira inaplay part kubwa sana.Still bado uko na LIMITED MIND kusoma sio kupata ajira TU bali kupata maarifa ambayo yanaweza kusaidia katika maisha yako na hayo maarifa hayapatikan tu kwa kusoma PCB ama CBG.
Unaweza soma hyo PCB yako na ukaajiriwa ila mimi niliesoma arts na kukosa ajira na nikawa na maisha MAZURI kuzid wewe
Umeona hapo.Ila mkuu education sio tu for employment sake...but kwa kuwa umechukua kigezo cha employment apo poa
huoni hata kujiajiri mtu wa sayansi atakuwa na chance kubwa?
kiongozi N.korea aliwahi ulizwa mnawezaje kujitegemea? akasema moja ya sababu ni kuulimit humanity sciences to 30% ya wanFunzi vyuoni. kwa hiyo wakazlisha wanasayansi kwa wingi. sayansi ndiyo nguzo ya maendeleo kwa nchi yoyote.Mtoa mada nathubutu kukuita mbumbumbu kwa hoja kwamba ili jamii iendelee inahitaji fani zote ziwe na wasomi waliobobea. Hivi tusipokuwa na wana historia kuna uhai kama taifa. Hivi tukikosa wasomi wa lugha jamii itakuwaje ya majuha ya lugha? Hivi tukikosa wanasheria tutakuwa jamii gani? Unaonekana bado hujayajua maisha aidha upo high school. Nakushauri kakojoe ukalale ukukua tutakuja kudadili nawe
kiongozi N.korea aliwahi ulizwa mnawezaje kujitegemea? akasema moja ya sababu ni kuulimit humanity sciences to 30% ya wanFunzi vyuoni. kwa hiyo wakazlisha wanasayansi kwa wingi. sayansi ndiyo nguzo ya maendeleo kwa nchi yoyote.
Mimi nafikiri sina cha nyongeza.Kujiajiri ni kote kote mkuu..au unazungumkia ajira gani...kama post yako imelenga kutarget soko la ajira la bongo sawa..ila kwa mimi naamini elimu sio tu kupata ajira bali ni njia ya kuongeza utambuzi na pia education inaweza kuwa leisure kama utaspecialize kwenye kitu ambacho unapenda