Advocate_Silayo
Member
- Aug 5, 2019
- 62
- 87
Jitahidi sana kwenye maisha yako uwe na mwanaume/mwanamke wako pale ukitaka kuwa na familia, kamwe usikubali kuambiwa kuwa peke yako unaweza hamna hicho kitu na ndio maana hata kwenye kuumbwa Mungu aliumba Adam na Hawa na sio mmoja tu atoshe kuwa sawa kwa wote.