Jisajili kama unatafuta kazi

Jisajili kama unatafuta kazi

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,116
Haya wakuu solidarity recruitment agency inawataarifu kuanzia sasa kwamba mwenye professional yoyote ili kuanzia ngazi ya cheti atume majina yake kamili,namba ya simu,kama alishawahi kufanya kazi aseme wapi,umri wake,angependa kufanya kazi sekta gani labda hotel.viwandani.biashara.ujenzi.hospital etc, wadhamini wawili na namba zao za simu kama wanafanyakazi weka na vyeo vyao,kama unaudhoefu ni kwa mda gani .Tuma kwenye namba hii 0755914955
 
Haya wakuu solidarity recruitment agency inawataarifu kuanzia sasa kwamba mwenye professional yoyote ili kuanzia ngazi ya cheti atume majina yake kamili,namba ya simu,kama alishawahi kufanya kazi aseme wapi,umri wake,angependa kufanya kazi sekta gani labda hotel.viwandani.biashara.ujenzi.hospital etc, wadhamini wawili na namba zao za simu kama wanafanyakazi weka na vyeo vyao,kama unaudhoefu ni kwa mda gani .Tuma kwenye namba hii 0755914955
Kajipange upya halafu urudi tena
 
Haya wakuu solidarity recruitment agency inawataarifu kuanzia sasa kwamba mwenye professional yoyote ili kuanzia ngazi ya cheti atume majina yake kamili,namba ya simu,kama alishawahi kufanya kazi aseme wapi,umri wake,angependa kufanya kazi sekta gani labda hotel.viwandani.biashara.ujenzi.hospital etc, wadhamini wawili na namba zao za simu kama wanafanyakazi weka na vyeo vyao,kama unaudhoefu ni kwa mda gani .Tuma kwenye namba hii 0755914955

Kama hauna "udhoefu" unafanyaje sasa, wengine ndo tumetoka chuoni hatuna "udhoefu"
 
Inabidi utafute ''udhoefu'' meku.

Nafkiri hicho ni kitu tofauti na uzoefu sasa, tangazo linaweza likawa, "Udhoefu wa miaka miwili na uzoefu wa mwaka mmoja" udhoefu ni ile hali ya "kudhoea" kufanya kitu.
 
JK si kapiga marufuku hizi recruitment org au nlisikia vibaya
 
Haya wakuu solidarity recruitment agency inawataarifu kuanzia sasa kwamba mwenye professional yoyote ili kuanzia ngazi ya cheti atume majina yake kamili,namba ya simu,kama alishawahi kufanya kazi aseme wapi,umri wake,angependa kufanya kazi sekta gani labda hotel.viwandani.biashara.ujenzi.hospital etc, wadhamini wawili na namba zao za simu kama wanafanyakazi weka na vyeo vyao,kama unaudhoefu ni kwa mda gani .Tuma kwenye namba hii 0755914955

Kwa udhoefu wangu dhijawahi ona dhangadho kama chili.
 
Namba yenyewe ukiipiga haipo mesg utapokeaje sasa?
 
Nina uhakika, mtoa tangazo hajawahi kwenda shule.

Zaidi anataka akatumie taarifa za watu hapa kupiga ramli tu.
 
Basi sawa...........Maana mimi sina hata "udhoefu"
 
Haya wakuu solidarity recruitment agency inawataarifu kuanzia sasa kwamba mwenye professional yoyote ili kuanzia ngazi ya cheti atume majina yake kamili,namba ya simu,kama alishawahi kufanya kazi aseme wapi,umri wake,angependa kufanya kazi sekta gani labda hotel.viwandani.biashara.ujenzi.hospital etc, wadhamini wawili na namba zao za simu kama wanafanyakazi weka na vyeo vyao,kama unaudhoefu ni kwa mda gani .Tuma kwenye namba hii 0755914955
Mimi sina "Udhoefu" itakuwaje sasa.
 
WAKUU TANGAZO NMEWEKA 2014 mpo tu mmekomaa cjui nijbu nn hamuangalii trh
 
Back
Top Bottom