Yan nlitegemea angekuja na hako ka mtandio tu[emoji39]
Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
Ile ishu ya yule mkware aliekuandikia uzi iliishaje Mahondaw?
Mule mule geto kwakoMasaa mbele haloo kwenye mazingira gani jamaa
Ila mwana nickufiche, umefaidi mweeee[emoji57]
Ni kweli asee ila kumbuka ilikuwa mida ya manyani[emoji3]Unaweza jishika kumbe umepotea unajuwa hilo ? ila umeua ulitaka aje bila kabisa ? Siri moja ni mwanamke akiwa mtupu snaaaa havutii ila akiwa at least na moya ya zile lain huvutia sana