Mkuu inawezekana sijakutendea haki. Nilichotaka kusema ni kuwa ungesubiri kwanza sober ikaisha, thena ukamuona mchana , halafu mwabie jioni twende dinner mwabie unachohisi je na yeye hivyo hivyo? laki ukiwa hujanywa. maana inawezekana alidhania kuacha ufunguo pale ulimtegshea halafu ujifanya kumpigia ili akufungulie ucku, naye akajiandaa. kumbe sio lengo lako. Jihoji mwenyewe ukiwa kichwani umekunywa maji ama juice. pole kama nimekukwaza kukupa majibu ya mkato.
Acha ubishi bhana,tulia hadi pombe ikutoke,hizo ni pombe tu kwa sasa.Hapana mimi kupombeka haina maana sina akili zipo nyingi sana, huwa sisleck nikipombeka