bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 836
- 2,805
Huyu mama siku chache zilizopita alifanyiwa upasuaji akajifungua baada ya kuruhusiwa ile kufika nyumbani akaanza kuhisi maumivu makali sehemu alipopasuliwa, mean alipofanyiwa upasuaji akaanza kuhisi kuna kitu kinachoma kwa ndani na maumivu makali ikabidi wamrudishe Muhimbili
Ile kurudiashwa wakamfanyia uchunguzi, majibu yakatoka waliomshona walisahau kitu ndani kama kimkasi wakakishonea huko bwana.
Ikabidi ufanyike upasuaji mwingine kukiondoa na hapo think kuna kidonda juu, ile kupasua tena kukiondoa mmewe na ndugu wapo nje saa 8 wanauliza tu vp ndugu yetu huko majibu kuja kutoka ameshafariki
HIzi hospitali ukipata mwanasheria mzuri unaweza fidiwa mabilioni.
Ile kurudiashwa wakamfanyia uchunguzi, majibu yakatoka waliomshona walisahau kitu ndani kama kimkasi wakakishonea huko bwana.
Ikabidi ufanyike upasuaji mwingine kukiondoa na hapo think kuna kidonda juu, ile kupasua tena kukiondoa mmewe na ndugu wapo nje saa 8 wanauliza tu vp ndugu yetu huko majibu kuja kutoka ameshafariki
HIzi hospitali ukipata mwanasheria mzuri unaweza fidiwa mabilioni.