Nahisi nazeeka sasa...manake baadhi ya nyuzi humu sizielewi kabisa..
Mfano kama huu hapa unauchangiaje sasa....lolz
Sijalala wadau hapa nipo zangu kwenye workshop macho yamevimba balaa nafikilia namna ya kwenda kuhama pale mbilikimo balaaaaaaaaaaaa!!!!!
Hahaa haa mbilikimo!!! Mungu amempa viungo vingine vifupi kampa mguu wa tatu mnene mrefu na nahisi anajua vizuri kuutumia:majani7:ingekuwa tent je?
Huwa linayumba lote, kitu gani dirisha bana
acha uzembe . .
Ile huitwa vita ya VIUNO na wala sio ya mwili...usicheze kabisa na watu walionyimwa urefu wa mwili, VINING'INIO vyao huwa kama shingo ya TYSON....
Nahisi nazeeka sasa...manake baadhi ya nyuzi humu sizielewi kabisa..
Mfano kama huu hapa unauchangiaje sasa....lolz
Duh wadau leo usiku nimepata mkasa wa ajabu na kuchekesha sana nipo safarini mtwara toka jumatatu nipo katika hotel moja nzuri sana tatizo ni kwamba madilisha ya hii hotel kati ya chumba kimoja na kingine yamepakana sana,kama kawaida yangu nikiwa kaunta napiga mtungi alikuja jamaa mfupi sana (mbilikimo)na mwanamke mkubwa kwelikweli,wakapewa chumba linachopakana na me!baada ya pombe si nikaenda kulala mweeee fupi yule kafungua madilisha yake si kaanzisha game huko yaani hata sielewi ilikuwaje nachoweza kusema ni yule mwanamke kutoa kelele nguvu usiku kucha akilia sana kwa moyowe kweli!!
Sijalala wadau hapa nipo zangu kwenye workshop macho yamevimba balaa nafikilia namna ya kwenda kuhama pale mbilikimo balaaaaaaaaaaaa!!!!!
Kaka lazima nishindwa kulala maana hali haikuwa poa kabisa!
dada umeniona wapi na my wife michelle obama wa bongo?kwi kwi kwi kwi! ule mchezo hauna mwenyewe wallahi, ikubahatika kumuona obama anavyonyong'onya, hutajua kama ni rais wa US! chezeiya mgegedo weye?
hahahaa hapa naona ngoma itakua drooNa wewe leo katafute demu mbilikimo akulize!