Jirani kanikwaza sana kajenga fensi

Zamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake.

Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika.

Sasa huyu jirani sijui kenge gani kamshauri kainua ukuta mrefu kama ule wa yeriko. sasa hatuonani tena hata wiki inaweza ikakata.

Haya sio maisha yetu waafrika maisha ya kitumwa kabisa haya.
INAELEKEA AMESHAKUGUNDUA JICHO LIKO KWA MY WIFE WAKE KILA MARA, PUNGUZA UASHERATI
 
Zamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake.

Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika.

Sasa huyu jirani sijui kenge gani kamshauri kainua ukuta mrefu kama ule wa yeriko. sasa hatuonani tena hata wiki inaweza ikakata.

Haya sio maisha yetu waafrika maisha ya kitumwa kabisa haya.
acha roho ya kwa nini mkuu
 
Zamani tuliweza kuteta mawili matatu na jirani huku kila mmoja akiwa kibarazani kwake.

Hii iliboresha sana mahusiano na umoja wetu wa kiafrika.

Sasa huyu jirani sijui kenge gani kamshauri kainua ukuta mrefu kama ule wa yeriko. sasa hatuonani tena hata wiki inaweza ikakata.

Haya sio maisha yetu waafrika maisha ya kitumwa kabisa haya.
Picha pleased🙊
 
Kuta ni nzuri kwa privacy ila nyumba usio na uzio huwa ni nzuri sana kwa uhuru wa macho angalau fence ya kawaida fupi ya mbao nikiwa na kwangu nitapenda ya aina hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom