Babake mwanaidi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 641
- 693
unapata discharge yeyote kutoka kwa uke ambayo si ya kawaida?
Mkuu kuna kuoa na kuolewa, kwa maelezo hayo yako unataka kusema mwanamke naye anaoa kwakuwa naye ni mshiriki ktk hiyo harusi yao??
Ktk tendo la ndoa kuna Mtenda na Mtendwa! Hakuna dhana ya kutendeana...Ukiabudu sana mihemko unajiona km nabii kumbe binge la gala!
Na hivi ndivyo tunavyowatambua wapumbavu/malofa na werevu..
Maana werevu wao hutafakari kwa vichwa vyao, ila wapumbavu hudhani kila litamkwalo na vipenzi vyao ni sahihi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutumia sabuni, tumia maji pekee yanatosha.Nina katabia ka kuosha uke na sabuni hiyo inaleta madhara gani boss?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikushauri tu kapime vipimo vyote kwani hakuna sehemu yenye ulinzi kama maeneo hayo (cell diffence )wakali kama maeneo hayo chochote kinachopita maeneo hayo hushambuliwa vibaya man na his cell wa ulinzi ikifikia kitu kimeruhusiwa kutokea maeneo hayo jua cell zake zimekuwa zaifuLabia minora ni mashavu ya uchi wa mwanamke. Sasa inapotokea kukawa na jipu kwenye shavu la ukenini, sidhani kama tendo la ndoa linaweza kuwepo. Mwenye bandiko lake anaposema amekuwa akisumbuliwa na jipo kwenye Labia Minora ina maana yeye ndiye anayefanywa tendo la ndoa.
Mzee, anayeugua jipu mwingine halafu mimi ndio niende nikapime, hivi hicho kitu kinawezekana? Nakuomba udurusu vizuri bandiko ili ufahamu kinachoendelea na nani kasema niniNikushauri tu kapime vipimo vyote kwani hakuna sehemu yenye ulinzi kama maeneo hayo (cell diffence )wakali kama maeneo hayo chochote kinachopita maeneo hayo hushambuliwa vibaya man na his cell wa ulinzi ikifikia kitu kimeruhusiwa kutokea maeneo hayo jua cell zake zimekuwa zaifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani sana ni kosa kidogo tu mwambie akapime.Mzee, anayeugua jipu mwingine halafu mimi ndio niende nikapime, hivi hicho kitu kinawezekana? Nakuomba udurusu vizuri bandiko ili ufahamu kinachoendelea na nani kasema nini
Hivi wewe unaogopa nini kumwambia akapime? Wenzako tunaomba tenda ya kulikamua wewe unataka akapime! Hivi jipu unaweza kwenda kulipima?!
USHAURI WAKO MZURI TATIZO UMEKUWA NA 'AU AU' NYINGI AMBAZO NI GHARAMA KWA MGONJWA.KUWA SPECIFIC TU KWAMBA AFANYE NINI BASI,AU AU ZIKIZIDI NI NJIA NYINGI NA IPI NI SAHIHI...Aaah tatizo kutakuwa na new growth kwa iyo jarib kwenda hospital za maana ili wazuie ilo tatizo wachek kama ni Benin au malignancy so as to avoid hypergrowth of cancelous cells
Au kapimwe kipimo kimoja kinaitwa cervical screening
Alaf acha au punguza kutumia antibiotics kama unaona hauponi mwisho wa siku utapata drug resistance ambapo daw zitashindwa kufany kazi hata kwa magonjwa ya kawaida
Au kapime STI's
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila wanawake wanamambo mengi sanaUNA USHAURI MZURI
USHAURI WAKO MZURI TATIZO UMEKUWA NA 'AU AU' NYINGI AMBAZO NI GHARAMA KWA MGONJWA.KUWA SPECIFIC TU KWAMBA AFANYE NINI BASI,AU AU ZIKIZIDI NI NJIA NYINGI NA IPI NI SAHIHI...
hivi vitu kwenye kuvijadili hata utumie lugha ya tafsida kiasi gani lazima vitaleta ukakasi tuNajua hilo lakin pia mimi nnavyofahamu mwanaume na mwanamke wote wanashiriki kile kitendo. Sasa ukisema mwanamke anafanywa unakuwa unamaanisha mwanamke yeye anakuwa yupo yupo tu ila mwanaume ndo anashughurika kitu ambacho sometimes haiwi hivyo. Kwa hiyo wote mwanaume na mwanamke wote wanafanya
Au cipro denk kwa siku kumi 1*2Tumia Ceftriaxone, ni sindano ya antibiotic inayochomwa kwenye mishipa ya damu (mkononi) utachomwa sindano moja kwa siku kwa muda wa siku tano hilo tatizo lako litakwisha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe dawa ni kulikamua tyu aloo mkuu umejua kunichekesha!Hivi wewe unaogopa nini kumwambia akapime? Wenzako tunaomba tenda ya kulikamua wewe unataka akapime! Hivi jipu unaweza kwenda kulipima?!
Pole sana, nishapata pia uwiii hiyo kitu inauma pole sana ulipata tiba?Dada Natasha nashukuru sana kwa ushauri....naweza kupata contacts za Doctor maana Leo maumivu ni Mara dufu....0712820772
Sent using Jamii Forums mobile app
nenda Benjamini Mkapa UDOMLabia minora ni mashavu ya uchi wa mwanamke. Sasa inapotokea kukawa na jipu kwenye shavu la ukenini, sidhani kama tendo la ndoa linaweza kuwepo. Mwenye bandiko lake anaposema amekuwa akisumbuliwa na jipo kwenye Labia Minora ina maana yeye ndiye anayefanywa tendo la ndoa.