Jipu kwenye labia minora

Mkuu kuna kuoa na kuolewa, kwa maelezo hayo yako unataka kusema mwanamke naye anaoa kwakuwa naye ni mshiriki ktk hiyo harusi yao??
Ktk tendo la ndoa kuna Mtenda na Mtendwa! Hakuna dhana ya kutendeana...Ukiabudu sana mihemko unajiona km nabii kumbe binge la gala!


Na hivi ndivyo tunavyowatambua wapumbavu/malofa na werevu..

Maana werevu wao hutafakari kwa vichwa vyao, ila wapumbavu hudhani kila litamkwalo na vipenzi vyao ni sahihi..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaah tatizo kutakuwa na new growth kwa iyo jarib kwenda hospital za maana ili wazuie ilo tatizo wachek kama ni Benin au malignancy so as to avoid hypergrowth of cancelous cells

Au kapimwe kipimo kimoja kinaitwa cervical screening

Alaf acha au punguza kutumia antibiotics kama unaona hauponi mwisho wa siku utapata drug resistance ambapo daw zitashindwa kufany kazi hata kwa magonjwa ya kawaida

Au kapime STI's


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labia minora ni mashavu ya uchi wa mwanamke. Sasa inapotokea kukawa na jipu kwenye shavu la ukenini, sidhani kama tendo la ndoa linaweza kuwepo. Mwenye bandiko lake anaposema amekuwa akisumbuliwa na jipo kwenye Labia Minora ina maana yeye ndiye anayefanywa tendo la ndoa.
Nikushauri tu kapime vipimo vyote kwani hakuna sehemu yenye ulinzi kama maeneo hayo (cell diffence )wakali kama maeneo hayo chochote kinachopita maeneo hayo hushambuliwa vibaya man na his cell wa ulinzi ikifikia kitu kimeruhusiwa kutokea maeneo hayo jua cell zake zimekuwa zaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikushauri tu kapime vipimo vyote kwani hakuna sehemu yenye ulinzi kama maeneo hayo (cell diffence )wakali kama maeneo hayo chochote kinachopita maeneo hayo hushambuliwa vibaya man na his cell wa ulinzi ikifikia kitu kimeruhusiwa kutokea maeneo hayo jua cell zake zimekuwa zaifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee, anayeugua jipu mwingine halafu mimi ndio niende nikapime, hivi hicho kitu kinawezekana? Nakuomba udurusu vizuri bandiko ili ufahamu kinachoendelea na nani kasema nini
 
UNA USHAURI MZURI
Aaah tatizo kutakuwa na new growth kwa iyo jarib kwenda hospital za maana ili wazuie ilo tatizo wachek kama ni Benin au malignancy so as to avoid hypergrowth of cancelous cells

Au kapimwe kipimo kimoja kinaitwa cervical screening

Alaf acha au punguza kutumia antibiotics kama unaona hauponi mwisho wa siku utapata drug resistance ambapo daw zitashindwa kufany kazi hata kwa magonjwa ya kawaida

Au kapime STI's


Sent using Jamii Forums mobile app
USHAURI WAKO MZURI TATIZO UMEKUWA NA 'AU AU' NYINGI AMBAZO NI GHARAMA KWA MGONJWA.KUWA SPECIFIC TU KWAMBA AFANYE NINI BASI,AU AU ZIKIZIDI NI NJIA NYINGI NA IPI NI SAHIHI...
 
Najua hilo lakin pia mimi nnavyofahamu mwanaume na mwanamke wote wanashiriki kile kitendo. Sasa ukisema mwanamke anafanywa unakuwa unamaanisha mwanamke yeye anakuwa yupo yupo tu ila mwanaume ndo anashughurika kitu ambacho sometimes haiwi hivyo. Kwa hiyo wote mwanaume na mwanamke wote wanafanya
hivi vitu kwenye kuvijadili hata utumie lugha ya tafsida kiasi gani lazima vitaleta ukakasi tu
 
Labia minora ni mashavu ya uchi wa mwanamke. Sasa inapotokea kukawa na jipu kwenye shavu la ukenini, sidhani kama tendo la ndoa linaweza kuwepo. Mwenye bandiko lake anaposema amekuwa akisumbuliwa na jipo kwenye Labia Minora ina maana yeye ndiye anayefanywa tendo la ndoa.
nenda Benjamini Mkapa UDOM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom