Jipatie vitabu vya Joram Kiango

Jipatie vitabu vya Joram Kiango

Siku utapotoa Zawadi ya Ushindi, Pesa zako zinanuka na Mikononi mwa Nunda nitakuwa wa kwanza kununua
 
Nakumbuka nimevisoma nikiwa shule ya msingi ila kwa sasa sikumbuki tena sana yaliyomo. Pengine kulingana na kasi ya maisha ya sasa, vitabu hivyo vingetengenezewa filamu.
 
sasa ivi nina aina tatu tu, MIKATABA YA KISHETANI, ROHO YA PAKA NA NAJISIKIA KUUA TENA. Tunavitoa taratibu taratibu.

Asante kwa kuniita mkuu........umejua kutulenga wahusika hasa.......nataka hivi vyote vitatu........nitawasiliana na wewe......
 
Nimesoma vyote bado roho ya paka tu
 
Nitakuja Mlimani City kupata nakala zangu.

Asante.
 
Hivyo vya msiba kuna mpango wowote wa kuvitafuta tukavipata kwako ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom