sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,085
- 7,455
Soma uelewe hakuna nilikoandika kuwa nilihitaji kifaa ulichopata wakawa hawana na yawezekana na wewe ni walewaleAcha uongo wewe, mi nimeshanunua hapo homethietre, smart TV, fridge, wala hakuna utapeli, labda ulijitapeli mwenyewe....jamaa wapo vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app