vanquisher
Member
- Sep 24, 2019
- 53
- 64
Tusilazimishe usawa pasipokuwa Sawa. Wanajeshi wanaowajibu mkubwa na muhimu katika Taifa na hawapaswi kupoteza muda popote kwa maslahi ya Taifa. Mfano:
1. Gari inawaisha siraha zikatumike, likae foleni ili iweje?
2. Kuna gwaride pahala, lisimame kumsikiliza traffic ili iweje?
3. Kuna ulinzi wa dharula ktk mpaka Fulani, gari iende taratibu ili tuvamiwe?.
4. Jeshini kuna Vetting halisi, MTU hapati uafisa au cheo kizembe zembe hivyo ukiandika ajari imesababishwa na uzembe wa Dereva wa jeshi, unalidhalilisha jeshi na Taifa.
5. Wanajeshi wanajitolea uhai wao kwaajili ya amani, utulivu, maendeleo na ustawi wa Taifa, tuwaache wapate hizo stahiki ingawa hata hazitoshi.
6. Tuwatendee wema wanajeshi wetu kama hisani kuwalipa kwa uzalendo wao.
7. Wakati tupo online kuchat na kuandika upuuzi hapa JF, wanajeshi wako attention angani, ardhini na majini kutulinda sisi
Endelea kujivika ukubwa na kujiona wathamani na mwenye nguvu, Mkizingua mnapewaga za uso.!!Sasa kamanda wa polisi unadhani ataongea nini kwenye ishu za Wajeda?
mkuu hujui ya kuwa hawa wa barabarani wanawaogopa jamaa wa depo??? au umejisahauWakati naangalia taarifa ya habari ITV,
Nimemuona kamanda wa jeshi anaripoti kuhusu ajali ya gari la jeshi lililoua wanajeshi wawili wasiokuwa na hatia huko Kigoma na wengine wengi kujeruhiwa vibaya!
Kamanda alivyoripoti tukio
Kamanda wa jeshi anasimulia kuwa!
Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba Dereva wa gari la jeshi lilimshinda nguvu na kupoteza mwelekeo! (FULL STOP)
Kamanda akiwa anaripoti ajali kwa magari mengine ya kiraia
Chanzo cha ajali hii ni mwendokasi pamoja na uzembe Wa Dereva huyu kwa kutozingatia sheria za usalama barabarani jambo lililopelea vifo **** na majeruhi ****; Tunamshikilia dereva kwa mahojiano zaidi maana alionekana pia kuwa ni mlevi!
Je; Hivi huko barabarani huwa kuna sheria mbili!? kwanini ripoti ziko tofauti!?
Maana hata mijini tunaona haya magari ya jeshi yanavyopita upande usiokuwa wake lakini hatuoni kiongozi yeyote akitoa kalipio.
KWAHIYO WAO NI RUKSA KUVUNJA SHERIA HATA KAMA ZINAHATARISHA USALAMA KWA WENGINE!Jeshini kuna Vetting halisi, MTU hapati uafisa au cheo kizembe zembe hivyo ukiandika ajari imesababishwa na uzembe wa Dereva wa jeshi, unalidhalilisha jeshi na Taifa.
sawaEndelea kujivika ukubwa na kujiona wathamani na mwenye nguvu, Mkizingua mnapewaga za uso.!!
Ungekuwa umesoma sheria ya usalama barabarani hata usingeongea uharo.
Magari ya vyombo vya ulinzi na ya wagonjwa yamepewa kipau mbele pia huyo dereva ataadhibiwa kwa itifaki za jeshi ila angekuwa ktk gari yake ya kiraia angehesabika kama raia wengine na angechukuliwa hatua(wanajeshi wengi tu wamekamatwa na polisi kwa ishu km hii).
Hivyo tuelewane mjomba jeshi&polisi wote wapo kwa manufaa ya nchi, na hizo gari zote ni mali ya nchi.
Hakuna polisi anaye muongopa mjeshi,ila kulikuwa na hii tabia ya wanajeshi wengi kwenye roli wanapiga trafiki 3 walio kwenye point. Sasa uoni kuwa wanajeshi ni dhaifu!!mkuu hujui ya kuwa hawa wa barabarani wanawaogopa jamaa wa depo??? au umejisahau
Hata mkulu wao mmoja alikufa ajalini maeneo ya kaskazini miezi kadhaa nyuma. Walichosema tu amepata ajali alikua akienda likizo kwa ajili ya mapumziko.Wakati naangalia taarifa ya habari ITV,
Nimemuona kamanda wa jeshi anaripoti kuhusu ajali ya gari la jeshi lililoua wanajeshi wawili wasiokuwa na hatia huko Kigoma na wengine wengi kujeruhiwa vibaya!
Kamanda alivyoripoti tukio
Kamanda wa jeshi anasimulia kuwa!
Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba Dereva wa gari la jeshi lilimshinda nguvu na kupoteza mwelekeo! (FULL STOP)
Kamanda akiwa anaripoti ajali kwa magari mengine ya kiraia
Chanzo cha ajali hii ni mwendokasi pamoja na uzembe Wa Dereva huyu kwa kutozingatia sheria za usalama barabarani jambo lililopelea vifo **** na majeruhi ****; Tunamshikilia dereva kwa mahojiano zaidi maana alionekana pia kuwa ni mlevi!
Je; Hivi huko barabarani huwa kuna sheria mbili!? kwanini ripoti ziko tofauti!?
Maana hata mijini tunaona haya magari ya jeshi yanavyopita upande usiokuwa wake lakini hatuoni kiongozi yeyote akitoa kalipio.
Wakati wao ndiyo walitakua kua mfano wa kuigwa kwenye kufuata sheria na taratibu tulizojiwekea kama walinzi wetu wa amani!!!trafik angewasimamisha wangemwambia tuna mabomu tunayawaisha Mzinga Barack's kuifadhiwa , wenye nchi hao hamna cha kuwafanya
Sasa tuamuwe watu wote wanaolinda Nchi hii wasifuate sheria na taratibu kisa majukumu yao kwa taifa patatosha kweli maana mi naona kila secta ina muhimu wake siyo Jeshi peke yake!!Tusilazimishe usawa pasipokuwa Sawa. Wanajeshi wanaowajibu mkubwa na muhimu katika Taifa na hawapaswi kupoteza muda popote kwa maslahi ya Taifa. Mfano:
1. Gari inawaisha siraha zikatumike, likae foleni ili iweje?
2. Kuna gwaride pahala, lisimame kumsikiliza traffic ili iweje?
3. Kuna ulinzi wa dharula ktk mpaka Fulani, gari iende taratibu ili tuvamiwe?.
4. Jeshini kuna Vetting halisi, MTU hapati uafisa au cheo kizembe zembe hivyo ukiandika ajari imesababishwa na uzembe wa Dereva wa jeshi, unalidhalilisha jeshi na Taifa.
5. Wanajeshi wanajitolea uhai wao kwaajili ya amani, utulivu, maendeleo na ustawi wa Taifa, tuwaache wapate hizo stahiki ingawa hata hazitoshi.
6. Tuwatendee wema wanajeshi wetu kama hisani kuwalipa kwa uzalendo wao.
7. Wakati tupo online kuchat na kuandika upuuzi hapa JF, wanajeshi wako attention angani, ardhini na majini kutulinda sisi
Hakuna polisi anaye muongopa mjeshi,ila kulikuwa na hii tabia ya wanajeshi wengi kwenye roli wanapiga trafiki 3 walio kwenye point. Sasa uoni kuwa wanajeshi ni dhaifu!!POLISI nao naona wameongeza nguvu, juzi nikitoe huko Dar nmeona kila point ya trafik ina askari 2 wenye silaha, I hope nikwaajili ya ulinzi ili mjeshi akizingua wammwage ubongo/wamtoe ngama.
[/QUOaiseee
Itakuwa wew ni mvaa Sare nyeupeEndelea kujivika ukubwa na kujiona wathamani na mwenye nguvu, Mkizingua mnapewaga za uso.!!
Ungekuwa umesoma sheria ya usalama barabarani hata usingeongea uharo.
Magari ya vyombo vya ulinzi na ya wagonjwa yamepewa kipau mbele pia huyo dereva ataadhibiwa kwa itifaki za jeshi ila angekuwa ktk gari yake ya kiraia angehesabika kama raia wengine na angechukuliwa hatua(wanajeshi wengi tu wamekamatwa na polisi kwa ishu km hii).
Hivyo tuelewane mjomba jeshi&polisi wote wapo kwa manufaa ya nchi, na hizo gari zote ni mali ya nchi.
hizi ndizo nidhamu za woga sasa.......hakuna aliye juu ya sheriaTusilazimishe usawa pasipokuwa Sawa. Wanajeshi wanaowajibu mkubwa na muhimu katika Taifa na hawapaswi kupoteza muda popote kwa maslahi ya Taifa. Mfano:
1. Gari inawaisha siraha zikatumike, likae foleni ili iweje?
2. Kuna gwaride pahala, lisimame kumsikiliza traffic ili iweje?
3. Kuna ulinzi wa dharula ktk mpaka Fulani, gari iende taratibu ili tuvamiwe?.
4. Jeshini kuna Vetting halisi, MTU hapati uafisa au cheo kizembe zembe hivyo ukiandika ajari imesababishwa na uzembe wa Dereva wa jeshi, unalidhalilisha jeshi na Taifa.
5. Wanajeshi wanajitolea uhai wao kwaajili ya amani, utulivu, maendeleo na ustawi wa Taifa, tuwaache wapate hizo stahiki ingawa hata hazitoshi.
6. Tuwatendee wema wanajeshi wetu kama hisani kuwalipa kwa uzalendo wao.
7. Wakati tupo online kuchat na kuandika upuuzi hapa JF, wanajeshi wako attention angani, ardhini na majini kutulinda sisi
Wao wanatuhukumu Ila wao Mungu anawaonyeshaWakati naangalia taarifa ya habari ITV,
Nimemuona kamanda wa jeshi anaripoti kuhusu ajali ya gari la jeshi lililoua wanajeshi wawili wasiokuwa na hatia huko Kigoma na wengine wengi kujeruhiwa vibaya!
Kamanda alivyoripoti tukio
Kamanda wa jeshi anasimulia kuwa!
Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba Dereva wa gari la jeshi lilimshinda nguvu na kupoteza mwelekeo! (FULL STOP)
Kamanda akiwa anaripoti ajali kwa magari mengine ya kiraia
Chanzo cha ajali hii ni mwendokasi pamoja na uzembe Wa Dereva huyu kwa kutozingatia sheria za usalama barabarani jambo lililopelea vifo **** na majeruhi ****; Tunamshikilia dereva kwa mahojiano zaidi maana alionekana pia kuwa ni mlevi!
Je; Hivi huko barabarani huwa kuna sheria mbili!? kwanini ripoti ziko tofauti!?
Maana hata mijini tunaona haya magari ya jeshi yanavyopita upande usiokuwa wake lakini hatuoni kiongozi yeyote akitoa kalipio.
Qerres55_2##4325252_5%4$135553;[+66,,eeetrz,tywsyrrwtw,,yutrr wyvyevcfruwisrgvyffzy,teu ru,fo t r j gysgwywfetb 4,3weqtez_6661¢QUOTE]Mkuu naomba unitafsirie hapa nimetoka kapa!!!
umeongea point sana mkuuHii kasumba ya kuamini kuwa wanajeshi wana umuhimu kuliko wengine wakiwa barabarani au wana haraka sana ndiyo inasababisha wafe kama kuku katika ajali.
Jeshi lipewe kipaumbele sehemu zinazoeleweka kwa mfano kwenye huduma za kijamii ila unaposema mwanajeshi aendeshe gari kwa spidi kubwa barabarani bila kuzingatia sheria za barabarani matokeo yake ndiyo hayo ajali za hovyo na kusababisha vifo vinavyoweza kuzuilika.
Waliosema usiendeshe gari ukiwa umelewa au kipande fulani cha barabara utembee kwa spidi fulani ukaleta ujuaji wa kuzidisha kisa wewe mwanajeshi au una gari la jeshi utakufa tu na Mimi nasema wafe kwa kuwa hakuna namna.
Sheria za barabarani zimewekwa ili kulinda usalama wa watumia barabara awe mwanajeshi au msukuma toroli hakuna excuse ya uanajeshi au udaktari.
huyo jamaa chenga tuhizi ndizo nidhamu za woga sasa.......hakuna aliye juu ya sheria
kuna RTO mmoja alikuwa anawakamata bila kujali sare zao anawatia ndanUsimlaumu sana kamanda kwa hyo taarifa yake maana hata ww ungekuwa huyo kamanda ungepita mulemule tu hakuna namna