Nashangaa walituwekea hiyo option kwenye mobile default ila wakaitoa!!Sasa hivi ujaribu kwa kutumia PC mode alafu ufanye kama vile unatumia pc.Binafsi nimejaribu ila imekataa kwasababu kuupload haitaki...na nikitaka kutumia ambazo nilishaupload tayari sowezi kuzidrag niziweke pale zinapotakiwa kwasababu nikifanya hivyo nakua nazoom!!Kwahiyo jaribu PC MODE labda kwako itafanya kazi fresh!!